Recent content by mbantu wa bantu

  1. M

    DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

    Hao walimu mnawaonea bure. Kwa nini mtoa mada usishauri miundombinu mf sehemu ya kuchomea taka ijengwe kama haipo au wanafunzi waelimishwe madhara utupaji horera ya ped iliyotumika. Tujiulize pia kuwa, mwalimu afanye nini kama sehemu sahihi ya kuweka hizo ped chafu ipo na wanafunzi kwa makusudi...
  2. M

    Katika jambo kubwa ninalojivunia, ni kutambua kuwa hakunaga UCHAWI

    Wanaopuuza uchawi kwa kujidai kuwa ni dhana na imani potofu wengi wao ni WACHAWI wanaotaka kutupumbaza, mtoa mada akiwemo.
  3. M

    Kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi Mashuleni

    "Hivyo vikofia mwisho madrasa", huku shuleni acheni watoto wavae sare zinazotumika sasa.
  4. M

    Nina dogo amemaliza Form Four, nimpeleke shule/chuo gani?

    Msikilize yeye anataka nini kisha anzia hapo. Watoto wa leo pasua kichwa, licha ya matokeo yake mazuri usije shangaa anataka aende kusoma stashahada kwenye vyuo vya kati huku wewe malengo yako ni kumpeleka kidato cha tano hatimaye chuo kikuu. Cha msingi alenge kujiajiri baada ya masomo ili...
  5. M

    Nilichogundua Watanzania wengi ni watu wafupi

    Tafuta pesa, mwanamke anataka uhakika wa mahitaji yake, hayo ya urefu ni yako.
  6. M

    Waraka wa Kwanza (1) kwa Wasabato wote

    Changieni kwa hoja, siyo ushabiki wa kidini. Mtoa mada nimekusoma kwani umefanya utafiti.
  7. M

    Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

    Siipendi jumamosi. Wanafiki sana hawa jamaa kwa kudhani kuwa wao ndio wanaostahili kwenda peponi. Narudia siipendi jumamosi.
  8. M

    Askofu Gwajima: Nipo thabiti, sikuwa Mbunge ili niuze sura au kudunduliza

    Gwaji boy ni kigeu geu, alishasema hawez hata kugombea Urais kwa kuwa uchungaj ni cheo kikubwa(cheo cha Mungu) lakin akaishia kwenye ubunge. Hata uthabiti wake unaouelezea utakuwa na walakin. Mchumia tumbo tu.
  9. M

    Sisi Watumishi wa Umma tunasema Hakuna kama Rais Samia

    Amekurupuka, msamehe. Inawezekana uelewa wake umefikia kikomo kwa kuwa kijijin kwao watumishi wa umma waliopo ni walimu. Pia hajui magumu waliyopitia watumishi wa umma kwa miaka 6 ya kunyimwa haki zao za kisheria huku usalama kazin ukiwa hatarini kutokana na vitisho na uhakiki usio na mbele...
Back
Top Bottom