Recent content by Mbaliche

  1. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Waliotajirika kupitia Q-Net njooni mtoe ushuhuda

    Write your reply...haw ni matapeli ndg yangu na mumewe wliingia then wakaanza kunishawishi daily wananifata asubui jioni nikaona kero nikatoa laki na nusu kuwaonesha naanza kulipia sikupatkana tena! matokeo yake mpaka ndoa yao imevurugika kisa qnet.
  2. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania USHOGA: Hali ni mbaya sana Ulaya. Je, Afrika tutapona?

    tena kaangalievzr kameshika makaio yake baada ya mama ,moja kukakaribia hahaha!
  3. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Tuna tenganeza pamp za kuvuna maji hadi lita 300,000 kwa saa

    Wadau tuna tengeneza pamp za kuvuna maji kwenye visima, mito, mabwawa na ziwa, zenye uwezo mkubwa na zina tumia mafuta kidogo yasiyo zidi lita 2 kwa saa. pamp zinaweza tumia injini, trecta au mota. pamp zina uwezo wa kutoa maji lita elfu15 hadi 120,000 kwa saa kwenye visima, zaidi ya lita lak3...
  4. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Kamanda Sirro: Tumefungua jalada kuwasaka mashoga vinara

    Miaka mitano cyo mingi nashauri serikali ya awamu hii itatuekero za wananchi kuliko mipasho inayoendelea iv sasa! Yenye mizz mikubwa
  5. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Jengo la Waterfront lawaka moto, juhudi za kuuzima zinaendelea

    Nani mmiliki wa hilo jengo maana leo mali,zilizo nunuliwa kwa unga zimesemwa!
  6. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa juu ya kumiliki hisa kwenye kampuni

    Mkuu msaada wako ntaelewa tuu nieleze
  7. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa juu ya kumiliki hisa kwenye kampuni

    Sawa mkuu ila cjakuelewa hapo ninapo taka kumiliki share za kampuni nyingine!
  8. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa juu ya kumiliki hisa kwenye kampuni

    Kazi zangu(ubunifu) na fanya mwenyewe pasipo kampuni. Ila mkuu nimekuelewa hasa kipengere cha 3 nadhani hapo ndpo lengo kuu
  9. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa juu ya kumiliki hisa kwenye kampuni

    Msaada na mawazo yenu yana hitajika
  10. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa juu ya kumiliki hisa kwenye kampuni

    Habari za asubui wa heshimiwa, Natumai mko salama, natambua kua JF ni darasa lenye walimu wa kila somo na wanafunzi wenye maarifa tofauti. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavo eleza naomba kuelimishwa juu ya hisa za kampuni, maana kutokana na ujuzi wangu naona kuna makampuni mengi yanakuja...
  11. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Kusoma Engineering Tanzania ni kujipunguzia siku za kuishi

    Ma engeneer wa bongo ni shidaaa hawjui chochote sasa cjui wana soma nini
  12. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

    Kiwangwa upepo upo wakutosha kabisa mkuu! Unafaa kwa kufunga pump ya upepo!
  13. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

    Mkuu nadhani kama una nia kweli ya kupata huduma hii hutaona shida kunitafuta. Mbona wengi wananitafuta na tunafanya biashara vzr.
  14. Mbaliche

    JamiiForums Tanzania Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

    Nitafute kwenye cm mkuu nimeweka no zangu hapa!
Back
Top Bottom