Wadau tuna tengeneza pamp za kuvuna maji kwenye visima, mito, mabwawa na ziwa, zenye uwezo mkubwa na zina tumia mafuta kidogo yasiyo zidi lita 2 kwa saa. pamp zinaweza tumia injini, trecta au mota. pamp zina uwezo wa kutoa maji lita elfu15 hadi 120,000 kwa saa kwenye visima, zaidi ya lita lak3...