Niliuliza gharama za kichimba kisima cha mita 10,40,80,100 na150 bado hujanijibu.Then survey ya maji mnafanya wenyewe kwenye shamba.Mkishachimba vip bei ya installation ya hiyo windmill kwa mita hizo hapo juu.Nina shamba nataka kulima kilimo cha umwagiliaji so ningependa kufahamu gharama zako ili nijue la kufanya.Pamja mkuu
Mkuu naomba nitafute nimeweka namba zangu hapo!Nipo mbali kidogo ila shamba langu lipo Morogoro jirani na Mikese...sijafanya survey ya maji yanapopatikana.Je,survey ya maji mnafanya ninyi au inakuwaje.
Vip kwa gharama za kuchimba kisima kwa Mita 40,80 na 150.Nataka nijue hizo zote ili nijiandae kwa gharama iwapo itaangukia katika hizo nijiandae kwa gharama zozote.
Na kabla ya kuchimba unaweza kufahamu maji yanapatikana umbali gani.
Nafikiri ukiweka hapa kila kitu utavutia wengi na utanufaika pia kwa mengi.Nafikiri bado ni jukwaa huru na unaweza kuweka kila kitu wazi hapa.Kweli nataka kujua hizo bei niweze kuweka kisima kwenye shamba langu.Mkuu naomba nitafute nimeweka namba zangu hapo!
Nikihitaji ya 2kw bei gani? Bila pump wala garama za kuchimba kisima. Yani nahtaji garama za windmill installation pekeake.Umeme pia zina uwezo WA kuzalisha! Kuanzia 200watts na kuendelea had zaidi ya 50kw
Sikui kwanini mnapenda hii tabia...nikishaona hivi wala sishughuliki nayo maana niliuliza ukanijibu hivi hivi nikapotezea japo sijapata huduma hiyo.Nitafute kwenye cm mkuu nimeweka no zangu hapa!
Mkuu nadhani kama una nia kweli ya kupata huduma hii hutaona shida kunitafuta. Mbona wengi wananitafuta na tunafanya biashara vzr.Sikui kwanini mnapenda hii tabia...nikishaona hivi wala sishughuliki nayo maana niliuliza ukanijibu hivi hivi nikapotezea japo sijapata huduma hiyo.
Eneo la Kiwangwa, Bagamoyo kuna upepo wa kutosha? Nataka kuchimba bwawa la samaki nifunge hiyo pampBei zna tofautiana kulingana na inapotakiwa kufungwa kama ni kisima au mto. Kama ni kisima pia urefu unafanya bei ziwe tofauti. Kwa kifup bei ina anzia 1.5mill.