Kuna maeneo ambayo ni mteremko kwahiyo acceleration inaongezeka kama kitonga na kwingine atakua alikuwa ana lalanayo. May be short cut anazifaham basi anachochora kufupisha safari
Shua mkuu baadhi ya wanyama sehemu walizo chinjwa ama kufia wanyama wenzao wanatambua mfano ng'ombe pia punda karibu na machinjio usiku hakubali kupita. Pia wanyama wakikaa machinjioni masaa kadhaa huingiwa na stress na kupungua ubora wa nyama.
Afisa ugani wamchongo, mvua ya mchongo, soko la mchongo, mbegu, viatilifu,mbolea vyote nia gharama kwelikweli na mtaji wote tuliwekeza shuleni familia ikabaki choka mbayaa! Any way we unalima? Nipe profit flow ya projeject ya kilimo unacho fanya.
Hata hizi za kujitolea Bado ni kizungu mkuti. Nipo nahangaikia kazi ya kujitolea sekta flani lengo kusaidia jamii
.Lakini Bado nakatwa chenga kibao wakati nijambo mhimu hata kuipunguzia serikali mzigo.
Write your reply...Yaani nihatari tupu barabarani , kunasiku nipo na chopa yangu rodini mida ya saa4 usiku nikawa nakutana na warembo kibao. Aiii! mara nakatiza kipori flani hivi mara nakutana na kademu nikajisemea chakujitesea nini nikatupia vocal kiaina dakika mbili mtoto katiki piga gori...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.