Pole rafiki kama nawewe ni mmojawapo naona imekuuma ila umeamua kujiridhisha kwa kusema hao wameonewa...kuita watu 10000 hujaona kama uonevu kwa nafasi 70?...polee mzee
Luis van gaal a.k.a master plan kama tupendavyo wengi kumwita hivyo kutokana na kufanikiwa kwa plan zake katika mechi ya mexico kufanya mabadiliko na kupata ushindi wa goli mbili baada ya kusawazisha,,mbali na hapo pia alifanya supersub baada ya kumtoa kumuingiza golikipa ambaye alidaka penalt...
Hivi ugonjwa wa dengue umeishia wapi???ni kweli uliletwa na wizara kwa manufaa ya watu wachache?au ni kweli panadol zilikua nyingi wakataka mzigo uishe fasta...kweli nimeamini bongo watu wasanii...!!!
Humu kuna watu tofauti unachokiwaza wewe kwawakati huu haiwezi kua rahisi na mwenzako akawaza kama wewe na ndipo utofauti kama binaadamu unapotokea,,,wazungu wanamsemo kwamba "everyone need someone to share with" kwamaana huyo ambaye amepost thread kuhusiana na hayo mambo kuna kitu kinamzonga...
Nadhani we mwenyewe thread yako umeandika kishabiki pia na nkiangalia profile picture yako ndo nkapata jibu kwann umeandika hivi??...kwanza upo interested na Suarez na unajaribu kumtetea ingawa tambua kosa alilofanya sio la mchezo wa mpira kabisaaa na isitoshe mara ya tatu linajirudia nadhani...
Anapolaumiwa raisi haina maana kwamba eti yeye ndo anauwezo wa kufanya kila kitu lakini ule uwezo wake wakimamlaka ndio unaweza kumuhukumu..mfano rahisi ni kwamba kama we ni baba/mama huezi kufanya kazi zoote za nyumbani peke yako na unawatoto basi utafanya mgawanyo wa kazi mwingine...
Kabla hajaja darasani kuna konda nae anajilia vyake nashangaa we mwalimu unajisifia akishafika darasani...we kweli kwenda ualimu ulifeli na hizo namba zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.