Recent content by mazrui wa bongo

  1. M

    Tupia picha ya mchomoa betri hapa

    Anasubiri ushahidi
  2. M

    Leo nimehisi sababu iliyomfanya baba yangu kumuacha mama yangu..

    Well said mkuu, mambo mengine watoto hawatakiwi kujiingiza.
  3. M

    Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

    Swadakta mkuu, maneno ya hekima na busara haya
  4. M

    Marufuku mume wangu kugusa matiti yangu

    Kama mumeo ni mtu Wa kupenda kushika na kunyonya matiti basi Jua tu anapata nje kwa wanawake wengine.
  5. M

    Watu wa dini, batizeni watoto wenu majina yenu ya kiafrika, achaneni na majina ya wazungu na waarabu

    Hayo majina yakiekwa yatatusaidia wengi na kujivunia uafrika wetu
  6. M

    Wanawake....let's be kind to men!!

    Usiseme hivyo pengine walikua Wanapendana sana lakini saa nyengine shetani huingia kwenye nyumba na kila mtu au mmojawapo akawa na jeuri na kibri
  7. M

    Wale ambao tulishakutana Na mabikra tukutane hapa

    Kosa lako ilikua unamhurumia sana ndio maana akenda kwa wengine.
  8. M

    Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

    Hawa ni wale waloleta ukiristo na kutuletea mungu mwenye ngozi nyeupe na macho ya buluu. Bado tunasubiri picha za waarabu lakini hatutaki za kuchora
  9. M

    Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

    Ziko wapi hizo picha za waarabu kutesa babu zetu, naona hawa ni wazungu
  10. M

    Tangu nimeanza kupiga mazoezi badala ya kupungua naongezeka uzito

    Je nguo zako zinabana au zinapwaya.?Yaweza kua umepungua fat lakini umegain muscles hasa kwa vile unapiga sana push up ambacho ni kitu kizuri. Na jee hilo dona unalokula ni kiasi ganI isije kua una consume more calories than what you are burning. Kwa hiyo lazima ubalance your calories intake...
  11. M

    Aina za vitambi na sababu zake

    Mkuu huu utafiti uloufanya si wa kitoto
  12. M

    Msaada wa jina zuri la kiume la kiislam ili nimpe baby boy wangu

    Bilaal ammar omar khalid Ahmad Saleh Sleiman Abbas Ali Hassan Hussein
Back
Top Bottom