Recent content by mazojms

  1. mazojms

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kudharau wabunge wa darasa la saba ebu tuangalie mchango wa wabunge wasomi wa Tanzania tangu nchi ijipatie uhuru wake .

    Bunge hilihili la CCM au unaongelea bunge gani? Hakuna awezaye kulima mpunga jagwani.
  2. mazojms

    JamiiForums Tanzania Alienishauri kufungua biashara ya video production ameniingiza chaka

    Zingatia vitu hivi... 1. QUALITY Vifaa unavyotumia vinaendana na usasa? Siwezi kukupa tenda kama simu yangu inachukua video zenye quality nzuri kuliko camera yako. Why not just use my phone for free? (It's just a simple logic) 2. STYLE Hakikisha kazi yako inakua ni enye utofauti yaani unique...
  3. mazojms

    JamiiForums Tanzania Kuita IFM, DIT, NIT na CBE kama vyuo ni makosa makubwa sana

    Acha kusumbua watu.
  4. mazojms

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Iwapo tunda la nyanya linaonesha dalili kama hizi, linaweza kuwa na sumu kwa kung'atwa na nyoka

    Huo ni ugojwa kwenye nyanya, matundu yanasababishwa na caterpillar aitwae Manduca Quinquemaculata.
  5. mazojms

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2008 Honda Fit (EJW) Inauzwa TZS. 13m

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizi ni fujo.
  6. mazojms

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama Kuna msaada wa kiimani ama kisaikolojia naomba tafadhari kabla sijachanganyikiwa

    Wewe ni mtoto wa kanisani vivyo hivyo mafanikio yako yako kanisani.
  7. mazojms

    JamiiForums Tanzania Kidonda kina siku 12 hakikauki na kupona, natumia dawa

    Mfano bahati mbaya ukikatwa mkono wa kushoto utajisafishaje?
  8. mazojms

    JamiiForums Tanzania Hizo Dhahabu zinazo chimbwa Geita na kwingineko kanda ya Ziwa, mbona bado Umasikini uko juu sana?

    Sasa umasikini ukiisha wanasiasa wataongea nini wakiwa wanatafuta kula, kwenye nchi zetu hizi umasikini ni dili.
  9. mazojms

    JamiiForums Tanzania Shilingi ya Tanzania itaimarika lini dhidi ya Kenya shilingi (KES) au Dollar ?

    Kulingana na trend ya kihesabu hapo chini binafsi niseme bila kumung'unya maneno kwamba " Hakuna matumaini".
  10. mazojms

    JamiiForums Tanzania Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

    Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.
  11. mazojms

    JamiiForums Tanzania Tanzania ichukue maamuzi magumu ijenge kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe

    - In case you haven't figured out, Maendeleo si kipaumbele cha serikali ya Tanzania. If utilised effectively! Energy sources zilizo active zinajitosheleza kabisa kukidhi mahitaji kwa wakati huu, but that is not the case. - Tunawenza anzisha millions of power projects but with the current...
  12. mazojms

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

    Kwenye hii story mama ndiye main character hahahaha
  13. mazojms

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

    Easy Easy Easy!
  14. mazojms

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Msemaji wa Timu za soka ifutwe, Haina tija yoyote

    Unajua kitengo cha public relations kina kazi gani kwenye organisation yeyote? Kila organisation lazima iwe na PR, naona hapa shida yenu ni lugha tu.
Back
Top Bottom