Zingatia vitu hivi...
1. QUALITY
Vifaa unavyotumia vinaendana na usasa? Siwezi kukupa tenda kama simu yangu inachukua video zenye quality nzuri kuliko camera yako. Why not just use my phone for free? (It's just a simple logic)
2. STYLE
Hakikisha kazi yako inakua ni enye utofauti yaani unique...
Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.
- In case you haven't figured out, Maendeleo si kipaumbele cha serikali ya Tanzania. If utilised effectively! Energy sources zilizo active zinajitosheleza kabisa kukidhi mahitaji kwa wakati huu, but that is not the case.
- Tunawenza anzisha millions of power projects but with the current...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.