Kuna wale wazee "Much Know" yaani wanaamini wanajua kila kitu kwenye huu ulimwengu , alafu hawapendi kuitwa wazee. Ukiwabishia kidogo tu utasikia " Huko shule mlienda kusomea ujinga" hahahaha
- Akili ni uwezo wa kuchakata maarifa/ elimu.
- Elimu ni mapokeo au content zinazounda akili.
- Huwezi kutenganisha akili na elimu. Mtoto anapozaliwa anakua hana akili wala elimu, anaanza kupata akili pale anapoanza kuingiza maarifa/Elimu (both formal and informal)
Madhara ya kukosa malezi yenye upendo utotoni, kiufupi hujui mapenzi/ upendo ni nini, unaogopa na kuona kero kwa sababu ubongo wako haujawa trained kuchakata taarifa za upendo.. how can one be afraid to be loved?
Someone to care
Someone to share
Lonely hours
And moments of despair
To be loved...
Unene wa asili? There is no such thing.
Unene tafsiri yake ni chakula cha ziada kilicho kosa kazi mwilini, Hivyo! as long as unaendelea kula bila kuchukua tahadhari huwezi tatua tatizo.
Tatizo si unene bali ni ulafi; usipo acha ulafi utaharisha sana na kamwe huwezi kupungua uzito.
Yanini kurisk afya yako kwa kuharisha, wakati unaweza kupungua uzito kwa kupunguza na kucontrol chakula unachoweka mwilini?
Usisahau kwamba asali ni chakula jamii ya Carbohydrate (Fructose & Glucose), madhara ya matumizi ya asali katika mwili yanafanana na madhara ya matumizi ya vyakula vingine vyenye sukari.
_ Unataka ujitawaze ukiwa umebana matako. Bado unahitaji kwenda lupango zaidi ili akili ikukae panapostahili.
_ Hiyo vita sio yako na mzazi bali ni yako na nafsi yako. Make peace with your inner self mwambie mtukutu ndani yako kwamba you are in control, baada ya hapo muombe mzazi wako msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.