Dada yangu mmoja kaachwa na mumewe baada yakukaa muda mrefu bila mtoto, akazaa na mwanaume mwingine, yule aliyemuacha mpaka leo hana mtoto. Tuvumiliane jamani, watoto ni zawsdi kutoka kwa mungu baba. Tusubirie.
Ukiwa unanyonyesha kuna hormone inatolewa kutoka kwenye pituitary gland, hii hormone( prolactine hormone) inasaidia kutengeneza maziwa lakini pia inazuia kutolewa kwa hormones nyingine zinazosaidia kutengenezwa kwa mayai.
Kadri unavyonyonyesha mara nyingi na kumuweka mtoto kwenye ziwa kwa muda...
Tuwe na busara jamani, kama mtu akiongea fact ukijitupia hapo ukaongea upumbavu, wengine wenye akili wataishia kukudharau, jufunzeni kujenga hoja, msiropoke hovyo.
jamani mleta hoja katumwa. yeye pia anajua anaongea pumba lakini hana jinsi umaskini unamsumbua anataka jioni apate kula na kesho apate T- shirt na kofia ya kijani apate kutoka.
samahani, natoa maneno makali kwasababu nimechoka kuona watu ambao ujinga haujawatoka kama wewe.
unajua matumizi ya...
Mleta mada anatupumzikia. Kama hana hoja, asoma tu za wenzake. Asipo-post kitu jamiiforum, hatafutwa.
Fuatilieni kwa makini jinsi anavyoendelea kujibu hoja za watu, mtaona hajui kabisa anachosema. 'hata wamachinga watajitenga' hio ni hoja ya mtu anayefikiria sawasawa kweli???????
Kwa hali kama...
Duh! inauma sana,kama uko makini, watu about 85% ya wachangiaji hakuna anayekuunga mkono kwa jambo unalotaka kulifanya, mimi pia sikuungi mkono hata kidogo, ulimpenda lecturer, tena baada ya kukaa nae muda mrefu bila kuambiana jambo hilo. Huyo ndie mume wako, huyo mwingine uliyemuona siku za...
Hujakosea kitu chochote dada, nakupongeza kwa kutofika msibani maana huenda huyo mama angekuchenchia kweli, wewe mshukuru mungu na huyo mzee kwa kukusaidia, na ujitahidi kusonga mbele kimaendeleo kwani naamini huyo mzee ndio kitu ambacho nayeye alipenda uwe nacho.
Hujakosea kitu chochote dada, nakupengeza kwa kutofika msibani maana huenda hungeharibika kitu, wewe mshukuru mungu na huyo mzee kwa kukusaidia, na ujitahidi kusonga mbele kimaendeleo kwani naamini huyo mzee ndio kitu ambacho nayeye alipenda uwe nacho.
kwakweli tusimlaumu mwenzetu, yawezekana katumwa na...... au ni kwasababu yuko nje ya box(tafsiri yangu yuko nje ya tanzania) angekua ndani asingesema hivyo.
jamani tukiambiwa mambo yaliyoshiba kama haya tusikimbilie kusema ni wivu. mnataka data za aina gani ili muamini?, au nyie mnaomtetea ndio vibaraka wake mnaogopa kukosa vibarua. tumewachoka mafisadi, tafadhali tuungane kuwapinga na sio kuwatetea.kwahio nyie mmefurahi kuona watu wanapigwa risasi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.