Recent content by Maya Angelou

  1. Maya Angelou

    Mke wangu anadai simridhishi kitandani

    Mimi ni mwanamke na nakwambia hapo huna mke Anataka muachane anashindwa kukwambia direct kaamua akwambie kwa kukuumiza take it from me Wanawake wengi tu hawaridhishwi na wapo kimya kwa sisi sex si jambo kubwa sana Piga chini huyo mkeo atakusumbua badae
  2. Maya Angelou

    Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

    Nakazia hapa anataka kuonyesha uanaume nimsihi asitengane na mwenzake,hii post imenihuzunisha sana I hate divorce
  3. Maya Angelou

    Nahisi sina bahati na biashara

    Wametengeneza kitu kinaitwa monopoly Hapo pambana uwapate matajiri wenyewe kwanza uwe chini yao huku ukiusoma mchezo
  4. Maya Angelou

    Loving you Mahondaw

    Tumefika kufunga ndoa na watoto juu mkuu upo Jf hii hii au umelala?
  5. Maya Angelou

    Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Vipi msimu huu mvua hazijaathiri kilimo cha mpunga?
  6. Maya Angelou

    Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

    Bado tupo tunadunda hapa ni kifo ndio kitatutenganisha sio michepuko
  7. Maya Angelou

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Nilileta mrejesho Kuna mwamba yupo Vingunguti alinisaidia kwa Laki na nusu tu Kesi mahakamani nilishinda Na mtesi wangu mpaka leo mambo yake hayaendi amevurugwa soon atarudi kijijini mjini kumesha mshinda
  8. Maya Angelou

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Mbona nilileta hapa kesi nilishinda na huyo adui yangu kavurugwa mpaka leo katulia hana jipya soon atarudi kijijini
  9. Maya Angelou

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Kwanini mkuu Mdogo wetu wa mwisho ni pisi kali rangi ya mtume akienda huko nna wasiwasi wajinga wasije muharibu uwiii[emoji2304]
  10. Maya Angelou

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Aisee mi ningeitoa mapema sana uwiii
  11. Maya Angelou

    Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

    Sababu yako ya leo ina mashiko angalau nimeanza kukuelewa[emoji28]
Back
Top Bottom