Kwa kweli TBC1 imekosa mvuto kabisa maana sikumbuki lini nilitazama yaani imekuwa kama shule za secondary za serikali zilivyokosa mvuto mtt amefauli vzr lakini uthubutu kumpeleka Government school wapi Iliboro,old Moshi and so on ili heshima irudi mabadiliko ni muhimu sana
Uwoga wako ndiyo umasikini wako Nape ni shujaa na ni mfano wa kuigwa kwani hakifutwa uwanachama ndiyo mwisho wa maisha yake?Hata kama wakimfuta uwanachama maisha yatasonga mbele yeye siyo mtoa riziki
Hili tuendeleze na zoezi la kupita nyumba kwa nyumba na kuwabaini wale wote wasiyofanya kazi pamoja na kuwakamata wote waliyokaidi zoezi la upigaji rangi nyumba zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.