Recent content by max mathew

  1. M

    Hatimaye RADIO E-FM waanza kurusha TV station yao

    115 Chanel ya amc
  2. M

    Hatimaye RADIO E-FM waanza kurusha TV station yao

    Je haipatikani kwenye ving'amuzi vingine?
  3. M

    Uganda: Watu wachinjwa kinyama na kutelekezwa

    Inapatikana namba ngapi hiyo channel
  4. M

    Ikitokea Rais mwanamke, itakuwaje katika haya?

    Hayo ni mambo ya kifamilia itategemea wao wenyewe kama wanapenda kufuatana kila mahali sidhani kama sheria kuna Mahali inamkataza Rais kuambatana na mke/mume wake labda kama kuna sababu za kiusalama. Lakini pia najua wanaume wengi hawapendi kufuatana na wake zao kwenye mambo ya kikazi ikiwa mke...
  5. M

    Kupatwa kwa mshahara

    Mshahara sikuzote hautoshi na ukiona mshahara umekutosha ujue akili yko haifanyi kaz vzr Hii nkutokana naukweli kwamba kdiri unavyopata hela nyingi zaidi ndivyo matumizi na mahtaji ynavyo ongezeka
  6. M

    Pale mke wangu anapomuonea wivu mwanae mchanga

    [emoji5] [emoji5] [emoji5]
  7. M

    Pole sana baba yetu!!!

    Ingebidi astafu kama amezeheka
  8. M

    Ni kweli kunywa bia asubuhi ni uzembe

    Nunua mda wanaouza alfu uhifadhi unywe mda unaotaka
  9. M

    INAWEZA IKATOKEA LUGHA MPYA HAPA DUNIANI

    Nimefikiriaa mtoto akizaliwa huzungumza lugha ya sehemu alipo zaliwa sasa huwa najiuliza ikitokea wakachukuliwa watoto wachanga kama 10 au zaidi wakawekwa sehemu ambyo hawawezi kusikia lugha yoyote hadi wanakua wakubwa je wataongea lugha gani? au watakua bubu? tusaidiane
  10. M

    Wanawake chukueni huu ujanja

    Hilo nalo neno
  11. M

    Acheni hizo bana

    Hivi mdada akipiga self kweny gari alipewa lifti hio gari inaharibikaee?
Back
Top Bottom