Hayo ni mambo ya kifamilia itategemea wao wenyewe kama wanapenda kufuatana kila mahali sidhani kama sheria kuna Mahali inamkataza Rais kuambatana na mke/mume wake labda kama kuna sababu za kiusalama.
Lakini pia najua wanaume wengi hawapendi kufuatana na wake zao kwenye mambo ya kikazi ikiwa mke...
Mshahara sikuzote hautoshi na ukiona mshahara umekutosha ujue akili yko haifanyi kaz vzr
Hii nkutokana naukweli kwamba kdiri unavyopata hela nyingi zaidi ndivyo matumizi na mahtaji ynavyo ongezeka
Nimefikiriaa mtoto akizaliwa huzungumza lugha ya sehemu alipo zaliwa sasa huwa najiuliza ikitokea wakachukuliwa watoto wachanga kama 10 au zaidi wakawekwa sehemu ambyo hawawezi kusikia lugha yoyote hadi wanakua wakubwa je wataongea lugha gani?
au watakua bubu?
tusaidiane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.