Recent content by max lee

  1. M

    Naisubiri Bongo Planet bila ya Dullah

    huyuuu jamaa katuingiza chakaaa balaa leo mbona nimemsikia
  2. M

    The Blacklist series

    nachokipendea kwenye hii series ina kuchota akili unatamani uwe na connection alizonazo mr reddicton kingine huyu jamaa ata upotee vipi anajua machimbo ya kukupata kingine huyujaama ni mtu wa madeal sana kwenye s2 wale jamaa wa bomba la mafuta alivyo wachomoa deal akachukua yeye [emoji2][emoji2]
  3. M

    Museveni amtuhumu Bobi Wine kuiba kura

    Haya ndoo majabuu ukisikia mtu kala simba ndo haya sasa.
  4. M

    Kuuza mechi kisa binti mpole

    mkuuu janaa nilitokaa kumchana dem manguu kwa kumuacha gaflaa anajifanya mtu wa mungu sanaa iaseee kumbe ni bogo la nyokaaaa huwezi amin hata ukimoana....
  5. M

    African leader taken ill, admitted to city hospital

    hii chanell inarohoongumu aisee
Back
Top Bottom