nachokipendea kwenye hii series ina kuchota akili unatamani uwe na connection alizonazo mr reddicton
kingine huyu jamaa ata upotee vipi anajua machimbo ya kukupata
kingine huyujaama ni mtu wa madeal sana kwenye s2 wale jamaa wa bomba la mafuta alivyo wachomoa deal akachukua yeye [emoji2][emoji2]
mkuuu janaa nilitokaa kumchana dem manguu kwa kumuacha gaflaa anajifanya mtu wa mungu sanaa iaseee kumbe ni bogo la nyokaaaa huwezi amin hata ukimoana....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.