Recent content by Mawembasa1979

  1. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

    KP namkubali sana aisee. Yaani huwa naona anamfuatilia kwa karibu sana Robert Mwampembwa aliyehamia Kenya.
  2. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Ebu tuichambue hii ramani ya nyumba, kwanza sijapenda dining kuambatana na choo, kipi kingine umekiona?

    Naomba namba yako ya simu ili tuwasiliane kuhusu ramani.
  3. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ukraine ni waongo mno. Nilishaacha kuwaamini tokea kipindi Kp alipokuwa analeta taarifa kutoka Gazeti la Kiev Independent kuwa kila siku Russia wanalambishwa mchanga Wapiganaji 1,000.
  4. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane mikataba ya Simba na migogoro ya kifedha

    Umemsahau Kalapina
  5. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Tatizo la Sowah ni nidhamu, utadhani ni Balotel.
  6. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Mbona wanasema Mpanzu amegoma kuendelea na Simba. Halafu Sowah timu yake (Singida Black Star) inataka ilipwe 2.6 billions
  7. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    EU wamemkatia misaada Zelensky kutokana na tuhuma za kuvunjilia mbali Kitengo cha Rushwa cha Ukraine.
  8. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Hamza hamna beki hapo. Mara nyingi akiona mechi ni ngumu anajivunja.
  9. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Muda huu Wanajeshi wa Russia wako katikati ya Mji wa Pokrovosk. Mji ambao ni wa kimkakati katika vita ya Russia na Ukraine.
  10. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Mussa Balla Conte is Green & Yellow

    Sio ranking za CAF!
  11. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Watu wameruka Nyumbani kwa Dada yangu Bahari Beach, wadai wamefuata taarifa

    Dah Kiongozi kuwa na kiasi hujafa hujaumbika. Mungu akubariki sana.
  12. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Billion 87 za Mo Simba ni mara 2 ya thamani ya wydad Casablanca

    Halafu lawama zote anapewa Mangungu. Dah!
Back
Top Bottom