Mo angekuwa anapata hasara angeiacha Simba ili waingie wawekezaji wapya. Tatizo la Mo anataka mchakato wa uwekezaji ukamilike huku yeye akiwa ni mwekezaji pekee kitu ambacho kwa Katiba ya sasa ya Simba hakiwezekani.
Seriksli mtailaumu bure maana imeshapitisha Katiba ya Simba. Changamoto iliyopo ni Mo kutaka awe mwekezaji peke yake wakati Katiba inataka wawekezaji 3.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.