Recent content by Mawembasa1979

  1. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki ni Mwananchi Yanga SC kwa mara nyingine tena. Nyumbani kumezidi kunoga sana

    Mimi ni mkulima sifanyi kazi ya kuajiriwa nimejiajiri.
  2. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki ni Mwananchi Yanga SC kwa mara nyingine tena. Nyumbani kumezidi kunoga sana

    Mimi ni mkulima na mshabiki wa mpira pension yangu ni jembe langu Mkuu.
  3. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki ni Mwananchi Yanga SC kwa mara nyingine tena. Nyumbani kumezidi kunoga sana

    Mwenzake Mayele analipwa Mshahara wa Tshs milioni 340 kwa mwezi. Yeye atalipwa Tshs milioni 60 kwa mwezi. Huku wapinzani wake kwa pitch ni akina Doumbia na Ismail Mgunda. Hakuna challenge kabisa hapo.
  4. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Naomba neno suala usiliandike swala.
  5. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Titcomb amenikumbusha mbali sana enzi za O-Level. Kulikukuwa na Kitabu kinaitwa Fundamentals of Engineering Science by Titcomb, G. R. A.
  6. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

    Viongozi wa Simba waongo sana. Eti walilipa fedha za usajili kupitia Account ya zamani ya Wydad.
  7. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Unajua nini kuhusu Devowoshipu

    Ikisu kyonangike
  8. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Mo angekuwa anapata hasara angeiacha Simba ili waingie wawekezaji wapya. Tatizo la Mo anataka mchakato wa uwekezaji ukamilike huku yeye akiwa ni mwekezaji pekee kitu ambacho kwa Katiba ya sasa ya Simba hakiwezekani.
  9. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Seriksli mtailaumu bure maana imeshapitisha Katiba ya Simba. Changamoto iliyopo ni Mo kutaka awe mwekezaji peke yake wakati Katiba inataka wawekezaji 3.
  10. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tunauza mashine za kuranda na kuchana mbao

    Kwenye suala la kazi tofauti ya mashine ya inchi 12 na 16 ni ipi?
  11. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tiba za kihindi (ayurvedic) na za asili za Tanzania malipo ni baada ya kupokea mzigo

    Dodoma Jiji mnapatikana maeneo gani Dodoma Jiji mnapatikana maeneo gan
Back
Top Bottom