Recent content by Mawembasa1979

  1. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Naomba neno suala usiliandike swala.
  2. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Titcomb amenikumbusha mbali sana enzi za O-Level. Kulikukuwa na Kitabu kinaitwa Fundamentals of Engineering Science by Titcomb, G. R. A.
  3. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

    Viongozi wa Simba waongo sana. Eti walilipa fedha za usajili kupitia Account ya zamani ya Wydad.
  4. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Unajua nini kuhusu Devowoshipu

    Ikisu kyonangike
  5. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Mo angekuwa anapata hasara angeiacha Simba ili waingie wawekezaji wapya. Tatizo la Mo anataka mchakato wa uwekezaji ukamilike huku yeye akiwa ni mwekezaji pekee kitu ambacho kwa Katiba ya sasa ya Simba hakiwezekani.
  6. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Seriksli mtailaumu bure maana imeshapitisha Katiba ya Simba. Changamoto iliyopo ni Mo kutaka awe mwekezaji peke yake wakati Katiba inataka wawekezaji 3.
  7. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tunauza mashine za kuranda na kuchana mbao

    Kwenye suala la kazi tofauti ya mashine ya inchi 12 na 16 ni ipi?
  8. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Tiba za kihindi (ayurvedic) na za asili za Tanzania malipo ni baada ya kupokea mzigo

    Dodoma Jiji mnapatikana maeneo gani Dodoma Jiji mnapatikana maeneo gan
  9. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa Mafunzo ya Udereva, Dar es Salaam

    Package hii ni sh ngapi
  10. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Jinsi Kikosi cha Simba kinavyoweza kupangwa akiwemo Ibraheem Jabaar

    Simuoni Mchezaji wa kumuweka bench Ellie Mpanzu
  11. Mawembasa1979

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Halafu hawalipi kodi yoyote ya Serikali
Back
Top Bottom