Recent content by mawazotu

  1. mawazotu

    Makamu wa Rais Kenya William Ruto Azuiliwa Kusafiri Kwenda Uganda

    M7 doesn't get along with ODM (Raila Ondinga) mwaka jana alimshutumu kuwa Raila anajidai kuwe kingmaker wa East Africa ..
  2. mawazotu

    Huawei yakiri Imeathiriwa na vita baina ya Marekani na China

    Bila Adroid au ISO ndo basi tena Soko lao limeisha .. Wakulima wa marekani walioadhirika na huu mgogoro watapewa fidia na selikali . Swali je wachina anauwezo huo.
  3. mawazotu

    Ajali ya moto Morogoro: Itakuwa ajabu Kama RPC na Kamanda wa Fire hawatawajibika.

    Kama mkiingia madarakani mtakuwa mnawajibisha watu hivyo kweli au ndo mnashauri tu
  4. mawazotu

    Nchi yenye uchumi wa kati raia wake hufa kwa kugombania mafuta?

    Ningeria Ndo nchi ya Pili kwa uchumi mkubwa Africa lakini vitu kama hivi vimetokea Mara nyingi..
  5. mawazotu

    Msanii Wema Sepetu arejea CCM, aitosa CHADEMA

    Kuongoza nchi siyo lelemama ni kama mpira au kucheza draft ukiwa mje unaona makosa yote and all the moves lakini kaa wewe. Majibu ya matatizo yote na changamoto zote yameshatolewa au yatatolewa apo badae . U cant change a country overnight . Maendeleo mengi yanayodumu yanachukua muda.
  6. mawazotu

    Msanii Wema Sepetu arejea CCM, aitosa CHADEMA

    Jana baada ya kusikia wema karudi ccm sikustuka sana kwa sababu a few days a go alisema anatamani kufa. So its like she was under pressure na anafanya maamuzi either kwa shinikizo au emotion. Aliendaje chadema was its an ideological move au emotional move .. kama mtakumbuka it was more of...
  7. mawazotu

    ‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"

    Kuna kitu Dr Mzindakaya aliongea ni kizuri sana . Tusilinganishe marais coz kila rais ana mwenyendo wake, hulka zake na ana maono yake . Naona nchi ya tofauti sama baada ya miaka 10 ya Magufuli .. na ndiye rais tutakaye mkumbuka kuliko wote
  8. mawazotu

    Rais Magufuli, Mafuru apelekwe mahakamani sio kupangiwa kazi nyingine

    hamna kitu habari za kuunga unga tu hizo.. CRDB Bank PLC - Board of Directors
  9. mawazotu

    Mchungaji Getrude Lwakatare apigwa stop kulipia wafungwa faini

    Kweli ccm mbele kwa mbele yani hamna kusema pooh kila mtu anaisoma number hamna kusaidiana . Kama number ni yako jichangeni mkalipie hamna kudesa kila mtu anasoma number yake
  10. mawazotu

    Ni hatari sana mifuko ya Pension kuwekeza kwenye viwanda

    ZANZIBAR-ASP asante kwa uchambuzi mzuri . Mimi naona linawezekana kuwekeza lakini changamoto ni Kubwa sana . Just imagine NSSF Group of companies hiyo structure take. Taasisi kama NSSF kwa pesa iliyowekeza kwenye majengo wangeweza kujenga viwanda vingi na kutengeneza majipu mengi pia...
  11. mawazotu

    Tanzania kuendelea inahitaji wasomi kama Prof. Clive E. Chirwa wa Zambia

    Mmmh mbona Zambia wanauchumi mbovu sana. Au umesahau few weeks ago ilibidi wafanye mpaka maombi Mungu aingilie kati uchumi wao.
  12. mawazotu

    Waziri Mkuu aingilia kati Sakata la Nauli DART

    Mradii huu ni white elephant kama ulivyokua mradi wa pantoni ya kwenda Bagamoyo. Tanzania kama nchi ya Dar kama mji mkuu wa kibiashara hapakuwa na ulazima wa kuwa na mradi 'MKUBWA' kama wa DART. kuna umuhimu wa kuboresha usafiri wa mabasi, treni ata kuvuko lakini kwa kiasi gani?? Makosa ya...
  13. mawazotu

    Hoteli za Double Tree na Slip Way, zawekewa alama ya "X"

    Vip hotel the sea cliff au yenyewe ipo katika sehemu inayoruhusiwa kisheria . coz mara nyingi nimeshafika katika mgahawa wao wa karambezi yani maji yanagonga mwamba wa hotel .mimi naona serikali iwaangalie upya hotel na shuguli nyingine za kiutalii sheria na taratibu mpya ili waweze kutumia...
  14. mawazotu

    Uchaguzi mdogo katika majimbo ya Ludewa na Masasi

    Jimbo la Masasi cuf ingeshinda kirahisi kama UKAWA wangekuwa wamoja japo akiangalia numbers don't add up lakini hilo jimbo kama Mh Lowassa, Mh Mbowe, Mh Msigwa, Mh Mbilinyi and the likes wangeenda kupiga kampeni ata for two days tu things would have been different.
Back
Top Bottom