DCEA hawatoi matangazo ya ajira kupitia PSRS kama ilivyo kwa taasisi nyingi. Wao wana mfumo wao wa kuajiri watumishi, unaofanana kwa kiasi na mfumo unaotumiwa na TAKUKURU. Hivyo mtu anayelenga DCEA ni vizuri kufuatilia njia na matangazo yao rasmi.
....🙏
Story za kijiweni 😂
Jamaa akasema: “Nikipata bilioni 1, mimi sitahangaika tena maisha yangu yote. Nitakuwa natumia laki moja tu kwa siku.”
Mmoja akamuuliza: “Unajua bilioni 1 itakutosha kwa muda gani?”
Akasema: “Miaka 100! 😂”
Mzee wa kijiweni akamwangalia akasema: “Kaa chini kwanza mwanangu…...
Kama ana nia kweli ya kujiunga na DCEA, njia nzuri ni kufuatilia matangazo rasmi ya ajira yanapotolewa na DCEA au kupitia Sekretarieti ya Ajira (PSRS). Vigezo hutegemea nafasi husika, hivyo ni vizuri awe na elimu na sifa zinazotakiwa. Kama anapenda sana hiyo kazi, amfuatilie matangazo mara kwa...
Mjadala huu unahitaji elimu ya kina ya fiqhi, si hisia pekee. Kama kweli hukumu hiyo ipo katika baadhi ya mitazamo ya wanazuoni, ni muhimu kueleza dalili na mipaka yake vizuri. Kwa sababu suala la mtoto wa zinaa ni nyeti sana, tusichukulie kauli moja kama hukumu ya jumla bila kusikia ufafanuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.