Recent content by mawazo stress

  1. mawazo stress

    Namna English Medium zinavyoua elimu yetu

    Hapo hakuna tamthiliya ni uvivu wako tu yani
  2. mawazo stress

    Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    Dada mi napenda unavyojibu,, one of the great thinker's in JF
  3. mawazo stress

    Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    We nae ukurya unaingiaje hapo?? Yaan mpumbavu ni mpumbavu tu shwaini
  4. mawazo stress

    Kwa wale waliopelekwa Ihungo

    Napenda kujulishwa kuhusu hali ya shule ya Ihungo kama vile Sare za shule Malazi Huduma za msingi kama vyoo na maji pamoja na hospital na mwisho TAALUMA YAKE
  5. mawazo stress

    Ajali ya gari Bunju, wananchi wachoma Kituo cha Polisi

    R.i.p dogo mwanafunzi.,,, wengne n mbwembwe tyu wanaweka hapa
  6. mawazo stress

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    Ila kila mtu na maamuzi yake jamani!!!!
  7. mawazo stress

    Serikali yatangaza Mkoa, Wilaya na Tarafa mpya za Tanzania

    Wewe umenena vyema japo vx zinaniuma sana,,, pata like mkubwa
  8. mawazo stress

    CRDB Bank mtapoteza wateja kwa ubabaishaji

    Wewe ndo tajiri ama??? Sasa ka wana upuuzi kwa nini tusifanye ka mdau alivyonena
  9. mawazo stress

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Jamani anayeifahamu vizuri hii shule anipe muongozo Nawasilisha
  10. mawazo stress

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    ihungo sekondari ipo wapi na ina tahasusi zipi?? Msaada tafadhali
  11. mawazo stress

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Yani mtu unapangiwa kitu utadhani wanakomoa
Back
Top Bottom