kiongozi wanawake kama hawa nshakutana nao wengi sana hawajuagi kwamba kuna kipndi mapenzi yanaisha kila mmoja anachukua njia yake kiroho safi na pia mapenzi yakiisha wakati mwngne sio lazima uambiwe utafanyiwa
visa tu. Wao wanakuwa obsessed na kung'ang'ania tu matokeo yake ndo haya,,Mwanamke...
Kupambana kupo lakini inategemea umetokea katika mazingira gani, wakala anamchukua mchezaji Simba au Yanga mshahara wa chini laki sita bado kuna posho ndogo ndogo anampeleka Ufaransa akacheze timu ya akiba bila malipo yoyote na Bongo kaacha familia na bado club za bongo zinamfuata kwa day zuri...
Wakuu nimeona hili swali limeulizwa sehemu ikabidi nililete huku tulijadili, Mashine zimemaliza kazi tayari zinapelekwa wapi? na vitambulisho vyetu havina date of issued. Hapa ina maana watu wataandikishwa hata tarehe kupita. Hapa sasa naanza kuielewa ile kauli ya Nape ya kutumia goli la mkono.
Ni miaka 21 imepita tangu Shabani Nonda kuelekea South Africa na baadae kufanikiwa kuvuma sana Ulaya na Dunia nzima. Baada ya Nonda kufahamika tulitetegemea milango itafunguka kwa soka letu na wachezaji wetu kujielewa na kupambana ili kupata mafanikio kama ya Nonda lakini imekuwa ni shida. Mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.