Recent content by mavangahistor

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete ndani ya Karatu, akielekea Monduli

    mbona sijaona msafara wake bado mimi niko hapa barabarani kumpa hai nimesubiri weee hola eti kapitia wapi mheshimiwa
  2. M

    JamiiForums Tanzania kiwanja kinauzwa karatu

    karatu ni mji wa kitalii unaokua haraka ikiwa una ndoto ya kuwekeza hapa unahitaji kupata uwanja mdogo wa gharama nafuu, kuanzia laki tano hadi m.ishirini au zaidi usiumize kichwa kama nilivyoumiza mimi hapo awali nifahamishe kupitia jukwaa hili.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

    it is same politic is like a game awe mbowe slaha au wah.watukufu wa ccm swali moja kiuchumi tz ni wa ngapi ktk dunia au hapa afrika. kuongea,mikutano na mipango, namba 1. Politic in tz=games let me start kwa moyo mmoja ccm wapumzike tujaribu ukurasa mwingine.wadau nipeni kura muone.Ikiwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

  5. M

    JamiiForums Tanzania Re: VODACOM NA AIRTEL, INTERNET ISSUE

    Ki ukweli hawa hawasingiziwi ila ninachowaza sio makampuni au watendaji wakuu wanaofanya hayo ila vibaka wenye taaluma ya kuchomekea ku edit kama wakati flani voda walituma sms za kutohusika na sms walizotumiwa wateja toka vituo vyao any way nchi hii inahitaji kuwajibishwa VIKALI kwa watendaji...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tunaibiwaaaaaa! Jamani wateja wa Vodacom someni hapa!

    Usiwatetee jamaa yangu nimefika hapa kwa sababu ni mara ya pili leo napokea kifurushi hewa cha cheka internet cha voda cha T sh 500 ambapo ni mb 20 tz wizi mtupu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hi,wadau wote wa Jf

    tupo pamoja ila tu ubize nashindwa kiasi kwamba nilishindwa kuchangia chochote ila niseme tu michango yenu michache ya maoni imefaa wengi akiwepo mimi asanteni sana. Kamvua kanakoendelea hapo nje (karatu) kamji ka vidole 2 kameniwezesha kukaa hizo dkk chache thanx
Back
Top Bottom