Recent content by mautundu94

  1. mautundu94

    Utajuaje samsung galaxy yangu kama feki

    mkuu Sony Xperia nitajuaje fake na orgnal
  2. mautundu94

    Utajuaje samsung galaxy yangu kama feki

    kweli hii nimekubaliana nayo... maana na simu mbili za samsung moja imeleta mbwa..kalala mdogo nyingne imeleta manamba inahesabu...hata siyaelewi... nilikuwa naomba je Sony Xperia utajuaje orgnal na fake..
  3. mautundu94

    Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

    Wale wenye uchu wa kuwa washindi wa Miss Tanzania Mwaka 2015 Mwenzenu ameshawaonyesha mbinu inaitwa CONFUSE THE JUDGES!! Jifunze Kichina muda ukifika KAMUA JUKWAANI hata kama umewatukana ukoo wao mzima kwa kichina UTASHINDA..
  4. mautundu94

    Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

    daah watto wao wanaenda kusoma marekan sisi wanatujengea shule za kata maabara hakuna ,maktaba daah hii ndo tanzania bhana! Akili Kwenu Wana Temeke, Mtoto Wa Mbunge Wenu Huyo Sekondar Mpaka Chuo Marekani Wakati Temeke Nahc Ni Wilaya Ambayo Inaongoza Kwa Kua Haina Maendeleo.Watoto Wanakaa Chn...
  5. mautundu94

    Tecno mobile Mega Thread

    Mkuu ni Simu gani yenye uwezo mzuli pia inatunza chager.. na inaubola mzuli mimi npo muscat Oman.. Mwakan Nataka nije Tanzania ila nataka kuja na Simu Kali Sijajua ninunue.. simu gani itakayo nifaa
  6. mautundu94

    Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye

    hicho kitana kinatakiwa kipya au hata used.. alafu je una nuia nataka kumuona mke wangu au inakuwaje
  7. mautundu94

    Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye

    Mkuu Alafu Una nuia au Unakuwa unakula tunda huku unachana nywele...
  8. mautundu94

    Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye

    je hakuna madhara yeyote na una muona kwa muda gani.. anakuwaje anakuangalia au inakuwaje maana hapo inakuwa kama umeleta uhusiano na jini flan...
  9. mautundu94

    Sehemu zinazompa mwanamke raha

    Kuna wengine ukilamba shngo ina chumvi balaaa... masikio yana inta kilo tatu..
  10. mautundu94

    Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

    Njoo kwangu...We siunapenda ela
  11. mautundu94

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    kwaiyo hyo pete au saa luksa kuingia navyo chooni... Alafu hayo masharti mazto sana... yakufuga jini wakati kwenye qur'an mwenyezimungu alisema msiwafanye kuwa rafiki zenu.
  12. mautundu94

    Faida 2 ukioa demu bikira...

    kweli bikira saiv hamna
  13. mautundu94

    Faida 2 ukioa demu bikira...

    Bandia zpo wanaweka sijui vim kitunguu swaum,sabuni ya kaisiki sijui navingine nasikia inaludi katika hali yake
Back
Top Bottom