Recent content by Mautamu legend

  1. M

    Dr. Slaa na Prof. Lipumba nashauri wahamie ACT-Wazalendo

    Nitakufa na chadema hata iweje hakuna cha dr slaa wala nani chadema ni taasisi na siyo mtu
  2. M

    Nyumba ya Maalim Self imezungukwa na wanajeshi, hakuna kutoka wala kuingia

    unasumbuka na wa2 wanao tumia makalio kufikiri
  3. M

    Orodha ya Majimbo ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

    Acha ujinga ww ukerewe hadi mda huu ngoma bado mbichi mabomu ya machoz ndo kwanza yameanza kijani kagoma ku sign
  4. M

    Dr. Slaa, anzisha chama kipya cha siasa (Advice to Dr. Slaa in public)

    Tanzania nzima Umemwona dr slaa pekee ndo anaweza kuleta mapinduzi nchini? Huo ni upofu wa kufikiri bila ya wananchi wenyewe kuelimika na kujitambua bado itakua ni kama kumpiga chura teke vijijini watu bado wajinga sana wasiojitambua huku wakiwa wamevarishwa taji la elimu duni na ujinga
  5. M

    Hongera Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura

    Neema kwa ukawa aisee vijana tumejitokeza kwa wingi sana cna hofu chinjachinja ya mboga za kijani inaendelea
  6. M

    ITV wamekuwa hawaoneshi Mikutano ya CCM ya Kampeni

    Ni watanzania gani unao wazungumzia hapo, star tv bado haijakutosha hadi itv wakurushie mikutano ya ccm ndo usuzike roho?
  7. M

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    We ndo hujitambui ulikuwepo wakati wanarecord au huko kukesha umekeshanao wanakubandua acha za kike ww anagongwa mwingine halafu unakata mauno wewe
  8. M

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    Ahsante mkuu kwa msaada wako ngoja nipande nao kwa hewa
  9. M

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    oy nisaidie jinsi ya kupata hizo mambo coz nimejaribu malanyingi sana kila niki open email yangu hakuna kitu au nichec kwa 0753467401
  10. M

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    mie pia nimechaguriwa hapo clinical medicine lakn cjapata joining hadi sasa na niliwapigia simu chuon akapokea jamaa fulan hv akasema wataweka kwenye email zetu lakini hakuna kitu hadi leo
  11. M

    Picha tu: Lowassa Mwanza

    acha ubwege ww unabishana na taarifa ya habari ? Nakukumbusha 2 hata huku ukerewe mafuriko hayakuepukika
  12. M

    Yaliyojiri Dodoma: Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM Dr. Magufuli

    bira shaka fiesta bonanza inahusika hapo
  13. M

    Watanzania wanaanza kuyaona yanapatikana ndani ya CCM, Hebu tuyapime matamshi haya ya wagombea

    Ushabiki na masirahi binafic ndani ya lichama lako yanakupa wazimu subr oct 25 ndo uje useme upuuu kama huo
Back
Top Bottom