Tanzania nzima Umemwona dr slaa pekee ndo anaweza kuleta mapinduzi nchini? Huo ni upofu wa kufikiri bila ya wananchi wenyewe kuelimika na kujitambua bado itakua ni kama kumpiga chura teke vijijini watu bado wajinga sana wasiojitambua huku wakiwa wamevarishwa taji la elimu duni na ujinga
mie pia nimechaguriwa hapo clinical medicine lakn cjapata joining hadi sasa na niliwapigia simu chuon akapokea jamaa fulan hv akasema wataweka kwenye email zetu lakini hakuna kitu hadi leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.