Recent content by Maulo

  1. M

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Tukiwa mazishini huwa tunazungumzia historia ya marehemu mhusika. Sawa na hili. Tunazungumzia haya kumshikamanisha mzalendo wetu na maamuzi yasiyona tija kwa taifa. Na yote yanamhusu yeye. Katiba mpya ingesaidia kuonesha njia ,kaifunika. Mikutano ya wenzie ingempa mawazo mbadala,kaifunika...
  2. M

    Zitto: Hivi suala la Bombadier ni siri? Hivi hamtaki tujue? Hamtaki tuhoji juu ya kodi zetu? Serikali lazima iulizwe

    Ukiongoza kwa siri utaliwa kwa siri. Yakiibuka utalaumu wanaibua badala ya kulaum maamuzi yako Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Upuuzi, tena upuuzi mtupu. Mbona hatukuwasikia kabla mkitueleza kuwa wanasiasa wenye hila wanaingilia manunuzi ya bombardier yetu.??¿ Mlikuwa mkisubiri nini???? Mbona hata sasa hamjibu maswali mloulizwa na wazalendo waliotushirikisha hili jambo.??? Hivi kwa nguvu ya Serikali hii hao wanasiasa...
  4. M

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Kiukweli lazima taifa lifanye vitu kiustaarabu. Mikurpuko hii haitufikishi popote. Hawa jamaa watatuburuza sana, na hawana huruma kabisa na sisi. Ukiwabana hapa wanafungua mlango mwingine wa kutuburuzia. Makampuni haya ni ya kwao, na Mahakama ni za kwao, na wanasheria ni wa kwao. Tunapenda...
  5. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Excellent! Lkn inaonekana kuna ukweli kuwa kuna mambo tunakurupuka na kwahiyo yanatugharimu. Serikali iwe wazi kwetu kwenye mema na mabaya. Tunungishwa mkono mengi tusiyoyajua vizuri. Je kila anayefichua siri fulani ya makosa ya Serikali yetu katumwa kukwamisha ujenzi wa Tanzania ya Viwanda...
  6. M

    Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

    Great words,rightly spoken. Wacha nikitafute kitabu chake Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  7. M

    Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

    Mkuu Pascal, duuu! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Sumaye: Sirudi CCM pamoja kuwa nitateseka kwa visasi hivi

    Sasa tujulishe ulivyoyapata na malengo yake. Huenda hukupata kwanjia sahihi. What comes around goes around. Kuchimba kisima kirefu na kuweka Mashine na mifugo 200 ndo Aina ya uendelezaji wa mashamba wa awamu ili mliyoongoza nyie. Kwa hawa wenzio sasa hilo ni sawa na sifuri. Nashauri uende tu...
  9. M

    Let's decode Roma's Zimbabwe..

    Every thing is open in his song. He tells us the truth of who his enemy is and unfolds the fact of the rulers we have now He also shows clearly his innocence, and of course the worry as to why the investigation is delayed. The video also tells it own story. You watch it once and you know those...
  10. M

    Spika Ndugai ana personality disorder?

    Naona wazi kuwa Mh. Mnyika alikosea. Lkn naona pi wazi kuwa mh .spika alikosea hata zaidi. Adhabu na kosa havilingani kabisa. Ingetosha tu kumtoa Kikao kimoja.
  11. M

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Faragha imekimbilia wapi???? Lazima kuheshimu faragha za watu. LAZIMA.
  12. M

    Avamia mgahawa Zanzibar na kuchoma watu visu

    Pole majeruhi. Inashangaza kutokamatwa mtu huyo. Inashangaza sana.
  13. M

    WHO yatoa list ya miji michafu zaidi Afrika, upo mmoja wa Tanzania

    Aibu kwa kweli. Sababu mojawapo ni ukosefu wa Maji na mafuriko yasiyona ratiba. Mji huu wataalamu wanatakiwa kuandaa plan ya drainage kwa mitaa yote. Inatakiwa mitalo kila nyumba ,kila ubalozi na kila kata. . Kama nchi hii kuna ma engineer basi kazi IPO Morogoro. Miundo mbinu ya kuondoa Maji .
  14. M

    Rais Magufuli jaribu kumfikiri tena professor Muhongo, ni hazina ya taifa

    Ninaimani fulani na Muhongo. Sina imani kabisa na mfumo.
Back
Top Bottom