Recent content by Maulaga59

  1. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

    One of the major projects, siyo one of the major project!
  2. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Tusipokuwa makini na kujiandaa vizuri huenda Machi 2, 2024 wana Simba SC tukachekwa sana

    Nyie ndiyo watu mliokulia ndumba kwenye nyumba zenu! Pumbaff! Ingekuwa ndumba zinafanya kazi hiyo Simba si ingekuwa ilishaingia robo fainali asubuhi kweupe? Kwa nini bado inachechemea!
  3. Maulaga59

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

    Ina maana hata wageni wakija kuwatembelea wanakuta mpo kwenye mtalimbo? Au mnawakaribisha sebuleni halafu nyinyi mnaingia kwenye mtalimbo? Basi huo utakuwa umepinda kama NDIZI!
  4. Maulaga59

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

    Kwa hiyo wakati mwingine unaukalia kwenye kochi? Au bafuni unakula mtalimbo huko huko unaingia na mapovu ya sabuni?
  5. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

    Wewe hujajiandika utakufa lini, hii ndiyo shida ya uandishi wako! Kwa hiyo wewe utaishi milele siyo!
  6. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

    Mshindi ataamuliwa kwa magoli
  7. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

    Hukumu tayari imeshatolewa jioni hii. Tega sikio kwenye taarifa ya habari saa 2 usiku.
  8. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Aliyesababisha Radio One na ITV kuanguka kutoka kilele cha tasnia ni nani?

    Huwezi kulinganisha TBC na upuuzi unaoitwa IPP wewe. TBC ipo juu sana na ina wafanyakazi walioebda shule tofauti na huo upuuzi wa IPP.
  10. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Azim Dewji: Lissu amuombe radhi Biteko; Matamshi wanayotoa wapinzani hayapaswi kuumiza watu wengine

    Yes, ukoo wa akina Dewji wote wanetokea Singida na zaidi ya yote mama yake Mohamned Dewji (Mo) ni wa Kondoa ni Mrangi.
  11. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Imetimia miaka 4 tangu Katibu Mwenezi wa CCM, Paulo Makonda apigwe marufuku kukanyaga Marekani kwa Tuhuma za kudhulumu ‘Haki za watu kuishi’

    Aspokanyaga anapungukiwa na nini? Marekani ni Mbinguni au ulisikia siku moja atakwenda Marekani? Jinga wewe!
  12. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1967 Nchi za Afrika zilivunja Uhusiano na Taifa la Israel

    Endelea kujifariji na ujinga wako. Nimetumia neno UJINGA siyo neno UPUMBAVU!
  13. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Hakuna alietajirika kwa kucheza Kamari

    Ni sahihi kabisa chezeni kamari watu milioni 20 anayekuja jubatika mmoja au hakuna kabisa
  14. Maulaga59

    JamiiForums Tanzania FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

    Alicheza huko ukongomani na baadhi ya wachezaji hapo, kwa hiyo anawafahamu vizuri na uchezaji wao.
  15. Maulaga59

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

    Hivi makalio makubwa faida yake ni nini?
Back
Top Bottom