Duh!
Na mkeo kapewa mgao wa laki moja tu? au kaleta hela pungufu nyumbani? Je amekuambia na vingine alivyopewa na mzee sitta. Hebu muulize vizuri mkeo ndio urudi tena huku.
MD programme pia ipo KCMC, CUHAS, KAIRUKI, IMTU NA ST FRANCIS.kote huko utapata udhamini wa serikali, na ukimaliza degree ni hiyo hiyo.hakuna degree ya MUHAS wala UDOM peke yake.wote mnaingia kwenye soko moja la kutafuta ajira.sio lazima uajiriwe na kufanya kazi ya kutibu peke yake.kuna vyuo...
Miaka 10 ya ndoa mingi.hebu kaeni muongee.kuna mahali wote mmekosea.usimfukuze, kitendo cha wewe kugundua kosa lake ni adhabu tosha kwake.mpe muda ajifunze.ukimuacha utaoa Mara ngapi.kaeni mzungumze naamini mtamaliza suala hilo wenyewe bila mtu mwingine kujua siri yenu.ukiona moyo unakuuma sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.