Thaxs for a good advice, it must stick to the mind,but some company and organisations they have their scales..We better know first their ranges through investigation.
Habarin wana JF,
Ningependa kujua mshahara au kipato kwa nafasi za sales, sales representative, freelencer .
kwa waliowahi kuwepo pale au waliopo itakua vizuri zaidi...
Hili litasaidia ku bagain katika interview.
Thaxs.
ndo wale waliopewa kanga,vitenge, kofia.......hana hata aibu kuongea pumba kwenye reality....kila kitu kwake yes...unaweza kuta muuza papuchi hana hofu mana ma pedeshee wanatumiamo.
Acha ubishi uchawi upo,......kuna jamaa walipaa na ungo pale mawasiliano ubungo mchana kweupe na watu kushuhudia..ili wawaonyeshe ambao hawaamini......NATAMANI UNGEKUWEPO SIKU HIYO HALAFU UONE.....Hata biblia na misahafu vinasema uchawi upo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.