mustaphahamisi
Member
- Sep 4, 2016
- 36
- 21
Non sensesAjira sio kipaumbele cha serikali yetu hii tukufu, ngoja tukishamaliza kuhamia dodoma na kununua ndege ndo tutaangalia ajira, acheni kulalamika vijana chapeni kazi Ili tuwezekwenda sawa na kaulimbiu ya mtukufu raisi ya HAPA KAZI TU!
