Recent content by MATUTU ZE DON

  1. MATUTU ZE DON

    Sintopiga kura 2015,nimeshakata tamaa, hakuna wa kulinda kura yangu!

    nimeupenda sana ufafanuzi huu na nitawashawishi vijana wengi wapige kura
  2. MATUTU ZE DON

    Nimetapeliwa na mbeba mizigo

    babu mimi nisaidie ya mapenzi mjukuu wako mapenzi yananitesa
  3. MATUTU ZE DON

    Huyu ndiye Rais wa Tanzania 2015, hakuna ubishi

    ccm imechoka na mnachotegemea sasa hivi ni wizi wa kura tu kama mnaweza kuiba hata kura za katiba aaaah hii sasa balaa
  4. MATUTU ZE DON

    kioo na touch ya simu ya acer

    jamani waungwana ninasimu yanu aina ya acer model E320 Imepasua kioo kwa yeyote anayejua ninapoweza kupata hiyo touch na kioo naomba msaada wake wa maelekezo
  5. MATUTU ZE DON

    UPDATE: CHADEMA yanasa wasaliti... Shibuda adaiwa kuwafadhili baadhi, akalia kuti kavu!

    Mungu siku zote yupo kwa ajili ya kutenganisha ukweli na uongo
  6. MATUTU ZE DON

    Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

    Hadi sasa hivi chadema tuna kata ngapi
  7. MATUTU ZE DON

    Vichwa vya habari vya Magazeti hapo tarehe 3 oktoba 2011

    Jamani hayo ni maoni ya huyo mwana JF sa tusiwe na haraka jamani bado visiku kadhaa tu tutakutana kwenye ulingo huu kufanyia kazi maoni ya huyo ndugu yetu
  8. MATUTU ZE DON

    GE2010 Waliitwa wapiganaji ndani ya CCM, mbona hawako vitani Igunga?

    Twaweza kusema hawajui ni nini watakachoongea igunga au ndo tuseme inakua kibalua kikali kwao je wakati wa kampeni waseme yakwamba mgombea wao ataendeleza yale mema aloyaanzisha Rostam wakati mema yenyewe hayapo kama wanafiki wengine wanavyowadanganya wana igunga
Back
Top Bottom