Daah wazo nzuri lakin ukubali na kubeba roho yako mkonon kule maex wake cjw mme mara magonjwa daaah mara ninyonye k mmh kama limekukubalia wew jua wapo 3 kama ww mmoja akipata ugonjwa wote mnapata
uchawi mweupe unaweza kuupata kwa kufanya tahajudi, au kuamini kwenye asili au uwezo mkubwa wa akili yako huu ndo unaotumiwa na manabii wengi na huu uchawi kila mwanadamu anao wengi wanahuita uungu kwenye jamii unatumika kuponya magonjwa, n.k
Kuhusu uchawi mweusi huu ni kwaajili ya kumtesa...
uchawi unaanza akilini mwa mtu mfano kwenda makaburini usiku hakuna tatizo tatizo ni iman yako unaweza kupita eneo usiku vizuri tu ukaja kuabiwa hilo eneo usiku ni hatar unakuwa unapitapo kwa woga na wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.