Recent content by Matunzo 02

  1. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    Yanga wakipoteza itakuwa utan
  2. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    acha kuweka upendo na tamaa kama kapu moja Unaweza kumpenda mtu na bado ukamchiti
  3. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Hekima huanza pale Ego inapoishia

    Jumamosi imekuwa bora kwa bandiko bora nitakuwa bora zaid ya jana
  4. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Vijana mmejiongeza kuwaita majina mbadala wazizi wenu wakambo

    Kizuri kula na wenzako wazee hawaiwezi shoo wanasaidiwa na vijana
  5. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    mfano unatakiwa uogee mbele ya watu mia kuliko uogee unawaagalia wote watu mia unamchagua mmoja wa katikati unakuwa unaogea unamtazama yeye kama vile yupo peke yake kumbe wapo weng ndo maana yang
  6. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    nilivyofanya mim nilianza kuogea na watu wawili baadaye watano, kumi, ishirin, mpak wat mia nikapata ujasiri na unapotaka kuzugumza kwa watu kama mia chagua mtu mmoja uwe kama unazungumza naye watakuelewa wote HAKIKISHA WATU HAWAKUCHUKULII KAWAIDA
  7. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Mwanzo nilijihisi mdog hata kama kwenye kikao au watu wengi nisigeweza kuogea hata kama nigeogea ugesikia watu wanasema na wewe unataka kusema nin hii ilinitesa sana nikakoswa ujasiri nikawa mnyonge sababu sijui kuogea haraka haraka naogea taratibu Ila now naujasiri zaid ya simba siwez kuruhusu...
  8. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    siyo 100/0?
  9. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Raraa reree

    Mwamba anavingi anavyo anachoona bora atoe ni like ni mtu mzuri cjw ww tatizo ni lipi?
  10. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Kwa mabazazi tuu

    100% nimekataliwa ila namba napewa ila asiponipa namba namkula
  11. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    mkuu kumuoa unavunja urafiki mnakuwa mke na mme inavyoonekana unampenda oaneni ila muishi kama marafiki siyo wapenz one day utakumbuka zone ya urafiki na huwezi ipata kwake kikubwa fata moyo wako
  12. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Jihadhari, utakufa mapema bure kwa sababu ya uchungu ulio nao!

    Daah pole sana umekuwa dhaifu kwake ndo maana anakufanyia hivyo pha jua kuwa ameshapata mwingine upendo kwako umekufa acha kupiga simu nyingi hivyo wekeza kujijenga mwenyewe
  13. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    ujana umeshaisha saivi zaman tulikuwa tunasifia ili tuwavue nguo ya ndani now kama ni ukweli mtupu mpaka wananiita mjinga
  14. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    upo sahih mkuu kama kupata bando tu la kuperuzi jf linanipa mawazo nawezaje kujua mwanamke ni mzuri nywele?
  15. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    hahahah Kosa umwambie ww ni mrembo ndo awe anakupenda uwiii dunia yote yake
Back
Top Bottom