mfano unatakiwa uogee mbele ya watu mia kuliko uogee unawaagalia wote watu mia unamchagua mmoja wa katikati unakuwa unaogea unamtazama yeye kama vile yupo peke yake kumbe wapo weng ndo maana yang
nilivyofanya mim nilianza kuogea na watu wawili baadaye watano, kumi, ishirin, mpak wat mia nikapata ujasiri na unapotaka kuzugumza kwa watu kama mia chagua mtu mmoja uwe kama unazungumza naye watakuelewa wote
HAKIKISHA WATU HAWAKUCHUKULII KAWAIDA
Mwanzo nilijihisi mdog hata kama kwenye kikao au watu wengi nisigeweza kuogea hata kama nigeogea ugesikia watu wanasema na wewe unataka kusema nin hii ilinitesa sana nikakoswa ujasiri nikawa mnyonge sababu sijui kuogea haraka haraka naogea taratibu
Ila now naujasiri zaid ya simba siwez kuruhusu...
mkuu kumuoa unavunja urafiki mnakuwa mke na mme inavyoonekana unampenda oaneni ila muishi kama marafiki siyo wapenz one day utakumbuka zone ya urafiki na huwezi ipata kwake kikubwa fata moyo wako
Daah pole sana umekuwa dhaifu kwake ndo maana anakufanyia hivyo pha jua kuwa ameshapata mwingine upendo kwako umekufa acha kupiga simu nyingi hivyo wekeza kujijenga mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.