Kwa Tanzania ilipo sasa tunhitaji mtu mwny nguvu ya ushawishi,kufanya maamuzi magumu na makini na pengine dikteta ili tutoke hapa tulipo na kusonga mbele!! Huyu si mwingine ni Edward Lowasa!!! Jembe la kutegemewa!!
Hivi ni lini katangaza kugombea urais! Hajatangaza nia unaaza kutokwa na povu; akitangaza si utajinyea?? Kama huna hoja ya kupost kaa kimya, pita soma za wengine zenye maana usonge mbele!!! Wewe ni daktari wake hadi ujue anaumwa nini?? Hata km ni daktari ushapoteza sifa maana ni mwiko kutoa siri...
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na mapendekezo yake!! Wale wanaotukana wenzao humu ndani jitafakarini!!! Kimsingi Edward Lowasa anafaa kuwa rais wa JMT!!
Mwanaume mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu na yakinifu si mwingine kwa sasa hapa Tanzania bali ni El! Nakumbuka enzi zile akiwa PM matukio ya kimaendeleo yalivyokuwa yakiongozana mara pm kafanya hivi,mara kafanya vile!! Watu hamkumbuki jamani??? Hebu imagine amepewa majukumu makubwa zaidi...
Jamani!mimi ninafikiri kila raia wa Tanzania anayo haki ya kidemokrasia ya kumwezesha kutamka kilichomo akilini mwake! Tusiwahukumu watu wanapotangaza nia bali tusubili wananchi walio wengi waamue kwa njia ya kupiga kura endapo vyama vyao vitawapa ridhaa ya kupeperusha bendera zao!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.