Katika pita pita zako ushakutana na matangazo ya kusoma English course mengi tu vipi ushawahi kutana na sehemu wanafundisha Indian course na ishajiuliza kwann na wahindi wapo kibao bongo hapa
Kuna Mzee mmoja yeye alikua akisikia kelele za mwizi anatoka na mawe ya kilo moja moja ya mizani yale halafu anakuja anawaambia mkimaliza kumpiga niachieni basi anachukua jiwe moja anaweka chini ya pumbu halafu nyingine anabamiza kwa juu watu wote pale wanajishika pumbu kama wamepigwa wao yule...
Nchi inapitia kipindi kigumu sana maana hadi takataka kama kina musiba zinatiliwa maanani wallah hadi awamu hii iishe watu wengi wenye uwezo wa kupambanua mambo watakufa kwa mawazo
Hizi mambo zote zimesababishwa na maccm ambao hawafuati kanuni na sheria Ila nikuneemesha matumbo yao mtoa mada unadhani nchi ingeongozwa kwa sheria ya kanuni haya mambo unayoyasema yangetokea kuna wakati hawa mnao waita wahindi wanatumia loopholes zilizopo kufanya mambo yao halafu mnakuja hapa...
Watu wa jf mkifanikiwa kutoka vijijin kwenu huko mkija mjin mkafanikiwa kupanga kijitonyama na mbezi goigi na kununua vi IST mnaonaga mmeaptia kweli maisha pumbavu......
Hao watekaji wanajiamini sana walimtekea karibu na makao makuu ya usalama wa taifa jiran na kwa makamu wa rais halafu wamekuja kumtupa gymkhana karibu na ikulu hahahaha kweli yajayo yanafurahisha......na tusishangae watekaji wasitafutwe ila ataanza kutafutwa Zito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.