Wachambuzi wa Tanzania bana....unashindwa kuelezea vizuri kwenye faida za hiyo reli kiuchumi, kisiasa na kijamii, lakini umekazana na point kuwa malori mengi yatapaki as if kupaki kwa malori na watu kukosa kazi nayo ni sifa pia!!!!!!!
Bao moja au matano kwa nani na kwa muda gani?. Mimi naamini mwanaume anaweza kupiga hata 4 au 5 ILA inategemea kakutana na mwanamke wa namna gani na amekaa nae kwa muda gani. Ila kama kuna mwanaume ambae anaishi na mke ndani halafu akaweza kupiga hizo 4 au 5 kila siku basi huyo abnormal na...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano!. Bila shaka mu wazima na kama una tatizo kidogo au sana la kiafya, basi natamka uponyaji kuanzia sasa, UPONYWE
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Nahitaji fremu ya biashara inayofaa kwa biashara ya kuuza vifaa vya computer na simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.