Recent content by mattnard

  1. M

    UHAMIAJI WATOA MAJINA

    Jamani kwa mlioomba Uafisa Uhamiaji Majina out chekini website ya jkt
  2. M

    Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

    Kaka kaka upo vizuri saannnaaaaaaaaaaaaaa
  3. M

    Uhalisia wa Maisha ya Ndoa

    Asante Kiongozi
  4. M

    Uhalisia wa Maisha ya Ndoa

    Wanajamvi namshukuru Mungu kwa uzima huu nilionao natoa mtazamo juu ya uhalisia wa maisha ya ndoa! Wengi wanaingia kwa kubipu ila hawajadhamiria,iweje uoe Leo hata wiki haifiki unafumaniwa ?hebu tuwe serious, iweje uoe Leo mwezi tu umuone mwenzio sio mzuri ?tuwe serious, iweje uoe Leo mwaka tu...
  5. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Nataka ya slow kiongozi
  6. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Ohhh Mghamba yenye chata hizo ndo mazuri vipi lenye speed ndogo ?
  7. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Lipi lina mwendo mzuri kiongozi?
  8. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Yote yanatokea Nyegezi au Buzuruga ?hiyo ni 2 by 2 au ?
  9. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Jamani next week nataka kusafiri toka Mwanza kwenda Arusha,naulizia basi zuri luxury pamoja na nauli zao,ikiwezekana nipate na number za Agent wao!saidieni wanajanvi
  10. M

    Hatimae uhamisho wa watumishi kuendelea rasmi

    u hamisho mh atusaidietu taratibu tayari zimefanyika
Back
Top Bottom