Hatimae uhamisho wa watumishi kuendelea rasmi

Lundavi

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
327
320
Kwa mujibu wa maelezo ya waziri mwenye dhamana katika wizara ya TAMISEMI Mh. Simbachawene yaliyotolewa tarehe 20/4/2017 bungeni, uhamisho wa watumishi wakiwemo wanandoa ni haki ya msingi.

Hivyo maafisa utumishi wanaozuia watumishi kuhama wanakiuka taratibu na sheria zilizowekwa. Waziri wa utumishi pia amesisitiza kuwa zoezi la uhakiki wa watumishi limekamilika ambalo kwangu ndio nilikuwa naona kama ni kisingizio kikubwa cha uhamisho kusitishwa.

Conclusively; Naona Kundi kubwa la watumishi tukihama vituo tulivyokuwa hatuvipendi na kwenda kuchapa kazi kwa ari na kasi kubwa huko kwenye maeneo tunayoyapenda huku tukiwa karibu na familia zetu.

Source; Mpekuzi.
 
Kwa mujibu wa maelezo ya waziri mwenye dhamana katika wizara ya TAMISEMI Mh. Simbachawene yaliyotolewa tarehe 20/4/2017 bungeni, uhamisho wa watumishi wakiwemo wanandoa ni haki ya msingi.

Hivyo maafisa utumishi wanaozuia watumishi kuhama wanakiuka taratibu na sheria zilizowekwa. Waziri wa utumishi pia amesisitiza kuwa zoezi la uhakiki wa watumishi limekamilika ambalo kwangu ndio nilikuwa naona kama ni kisingizio kikubwa cha uhamisho kusitishwa.

Conclusively; Naona Kundi kubwa la watumishi tukihama vituo tulivyokuwa hatuvipendi na kwenda kuchapa kazi kwa ari na kasi kubwa huko kwenye maeneo tunayoyapenda huku tukiwa karibu na familia zetu.
Hapo umeandika vizuri waanze kurelease tu maana kuna majina yapo TAMISEMI ya watu walioomba uhamisho, na wengine wapo wanaomba kunasababu nyingi sana za uhamisho kuna watumishi wagonjwa ambao wanapaswa na wamekuwa recommended kukaa karibu na vituo vya matibabu au hospital kubwa, wengine wanahitaji kuishi na familia zao hapa unakuta Mama mtumishi na Baba ni mtumishi, so hawa lazima waishi karibu, na kwasasa athari imekuwa kubwa sana tangia uhamisho ulipositishwa, ila kwa kauli hiyo ya Mh basi tunaamini uhamisho majina yatatoka na wale wa kupeleka kwa makatibu tawala waendelee!ndoa ziendelee kudumu na uzao uendelee na matumizi yashuke asnte Mh simbachawene
Source; Mpekuzi.
 
Kwa mujibu wa maelezo ya waziri mwenye dhamana katika wizara ya TAMISEMI Mh. Simbachawene yaliyotolewa tarehe 20/4/2017 bungeni, uhamisho wa watumishi wakiwemo wanandoa ni haki ya msingi.

Hivyo maafisa utumishi wanaozuia watumishi kuhama wanakiuka taratibu na sheria zilizowekwa. Waziri wa utumishi pia amesisitiza kuwa zoezi la uhakiki wa watumishi limekamilika ambalo kwangu ndio nilikuwa naona kama ni kisingizio kikubwa cha uhamisho kusitishwa.

Conclusively; Naona Kundi kubwa la watumishi tukihama vituo tulivyokuwa hatuvipendi na kwenda kuchapa kazi kwa ari na kasi kubwa huko kwenye maeneo tunayoyapenda huku tukiwa karibu na familia zetu.

Source; Mpekuzi.
Siasa si hasa
 
Viongoz wenyewe wanatuhangaisha sana.Mara wanasema uhamisho tayar ukianza kufuatilia wanakwambia bado.
 
Kwa mujibu wa maelezo ya waziri mwenye dhamana katika wizara ya TAMISEMI Mh. Simbachawene yaliyotolewa tarehe 20/4/2017 bungeni, uhamisho wa watumishi wakiwemo wanandoa ni haki ya msingi.

Hivyo maafisa utumishi wanaozuia watumishi kuhama wanakiuka taratibu na sheria zilizowekwa. Waziri wa utumishi pia amesisitiza kuwa zoezi la uhakiki wa watumishi limekamilika ambalo kwangu ndio nilikuwa naona kama ni kisingizio kikubwa cha uhamisho kusitishwa.

Conclusively; Naona Kundi kubwa la watumishi tukihama vituo tulivyokuwa hatuvipendi na kwenda kuchapa kazi kwa ari na kasi kubwa huko kwenye maeneo tunayoyapenda huku tukiwa karibu na familia zetu.

Source; Mpekuzi.
Nausubiri kwa hamu haswa
 
Back
Top Bottom