Mkuu call 0759702766 Nikuonyeshe kazi tulizofanya km utalizika nazo na ww nikutengenezee website nzuri na nitakuuelekeza jinsi ya kujitangaza kwenye social media
Wakuu kuna nyimbo nazikumbuka miztari kadhaa tu na ninazitafuta sana naombeni saada
1.nimekuzoea ukiniacha.......... mapenzi siyo pesa wala siyo ustaa
Alafu kwa mbele km kuna binti mmoja anaimba kwa mbele mwenye hii nyimbo anisaidie au hata jina tu km mnaijua
2. nashindwa
baby bila wewe mi...
Nilienda m betting na premium betting mashine zile ndogo wanazitoa bure unatakiwa uwe na baraua za wazamini wawili zikiwa na muhuri wa selikari za mitaa. na barua moja ya utambulisho wako kutoka serikali ya mtaa. hawa jamaa wanatoa commision kwa kila laki moja utakayokatisha ticket wanakupa elfu...
Mkuu njoo imbox tuelewane nikutengenezee hiyo website ni file hosting website ambapo watu wanakuwa wanaweka mafile yako kwa malipo au bure na wengine wanadownload km premium member au free na ina sehemu ya ads kwaajili ya leads ambazo zinapatikana kwenye web
hii dawa mi mwenyewe nilipewa kuna siku kwiki ilinisumbua sana kuna jamaa aliniambia jambo Fulani yani akili yangu yote ilihama na kuanza kuliwaza lile jambo km baada ta dakika kumi jamaa akaniambia alikuwa ananidanganya tu na kwiki ilikuwa umekata mda huo we usiogope mwambie mzee wako kitu...
dawa ya kwiki ni simpo sana mshtue mzee wako kwa jambo lolote yani yani mwambie jambo ambalo litaiteka akili yake au mshtue na umuamishe kimawazo hata kwa dakika 30 hivi utiona kwiki inapotea tiba hii ni ya uhakika
Je umeshawahi kujiuliza ni kivipi wateja walio mali na duka lako wanaweza kupata bidhaa zako ?
Dunia ya sasa imeamia kiganjani. wateja wako hawana haja ya kuja dukani kwako tena. weka duka lako mkononi kwa application nzuri ya android itakayokuwezesha kuweka bidhaa zako zote mtandaoni na wateja...
Njoo nikutengenezee android application kwaajili ya website yako kwa gharama nafuu sana
tuwasiliane kwa
+255 759 702 766
info@clicktech.co.tz
Km hauna website usijari nitakutengenezea nayo karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.