Acha kudanganya kwa Afrika Mashariki hakuna timu nzuri kama Kenya wana discipline na team work ya hali ya juu kuliko UG na TZ. Tungekuwa kundi la Kenya sijui tungekuwa na hali gani
Una maana hiyo billion + faida ingerudi kupitia kodi zetu kama angeenda bungeni kwa kipindi cha miaka 5 tu?
Kama hivyo ni kweli bungeni wanaenda wabunge wangapi? Wote wakipata hiyo pesa tunaendelea lini?
Siamini. Ila kama ni kweli taifa linahitaji tafakuri jadidi.
Kama hii sio official kit basi huu uzi utauzika kuliko hiyo official kit. Otherwise official kit iwe kali kuliko hii.
Najua na hii Jezi utopoloni watocopy na kupaste km wametoroka mirembe
Mleta mada ni wale watoto wa English medium mkate na siagi hawajui hizi pilika pilika ndio maana wanashangaa. Sasa angekuta wameambiwa wachimbe visiki ingekuwaje.
Ujenzi wa hizi shule unatumia mfumo wa Force Account hivyo hiyo ni kawaida tu.
Na pia ni sehemu ya stad za maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.