Recent content by matosoro

  1. M

    Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

    Kifunguliwe kiwanda chetu chenye tyre bora Africa na duniani kwa ujumla
  2. M

    Aliyenitoroka amerudi na mimba

    Jitambue mkuu kivip unataka kulea mimba ya mwanaume mwenzio ,utachekwaaaaa.
  3. M

    Picha: Huyu ni nyoka wa aina gani? Nimemuua hapa home

    Mkuu umenikumbusha Iringa ambapo nyamwilu ni wengi ,na huwa ni bingwa Wa kutemea mate
  4. M

    Picha: Huyu ni nyoka wa aina gani? Nimemuua hapa home

    Sahihi kabisaa nimeproove hilo mkuuu
  5. M

    Alisema hanitaki sasa nani alaumiwe?

    Mkuu umesema form three alitolewa bikra na ticha, mlipo meet alikwambia anaboyfrnd askari mwenzie sasa unataka mini kingineeee......bwaga fastaaa
  6. M

    Nimemtafutia kazi sasa anakataa kutoa penzi kwa bosi, mimi nimfanyeje?

    Babuu vip,? khaaaa! unamuuza mdogo wako tena wa damu kisa kaz, acha wazimu... hongera sana binti kwa ujasiri alionao.
  7. M

    Anataka nimuoe Ili awe salama asikabwe na wachawi kwa kuwa mimi mchungaji

    Mchungaji umefikia hatua iyo,, cna iman na wewe!
  8. M

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    Daah! msaidie kiongoz,kumbuka cheo ni dhamana.
Back
Top Bottom