Recent content by Matope

  1. Matope

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Umenikumbusha nilienda makete bulongwa kupitia njia kitulo aisee kuna sehemu Hilux zilinasa me nipo na xtrail nikapasua wadau walishanga sana xtrail tuna 4wheel Kali sanaaaaa
  2. Matope

    JamiiForums Tanzania Prigozhin asema hataki tena kupigana Ukraine, anakuja Afrika

    Nenda tu urusi baba huku kwetu hapana aisee huyu mwamba mziki wake sio wa kitoto
  3. Matope

    JamiiForums Tanzania Naomba Ufafanuzi wa X Trail mpya kuanzia 2008

    Habari wakuu naona kuna utitili wa hizi xtrail new model mjini hapa Dar tafadhari naomba kujua kama na zenyewe zina changamoto kama ya zile za mwanzo! Nataka kujitwisha Consumption ya mafuta ikoje?
  4. Matope

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku yake ya kuzaliwa (Birthday 🎉) Pia ni tarehe na Mwezi ambao Baba yangu mzazi alifariki! Nafanyaje?

    Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu! Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika...
  5. Matope

    JamiiForums Tanzania Nadaiwa Bilioni 4 benki, sina kitu hali iliniendea vibaya. Naomba ushauri

    Habari mkuu! Nimejaribu kuwa wa mwisho katika kukushauri kwa sababu nimeshare story yako sehemu flan sasa nimepata majibu sasa hakuna sababu ya kwenda popote tafadhari kuja inbox nipate mawasiliano yako utawasiliana na chama cha wafanyabiashara wa madini kwa msaada zaidi wanakuhitaji sana...
  6. Matope

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Deni la Taifa kwa sasa

    Vp kuna habari gani kuhusu deni la Taifa naona tuko 91 T
  7. Matope

    JamiiForums Tanzania Hotel nzuri Ruaha National Park ni ipi?

    Wakuu, Msaada wenu naomba kujua hotel nzuri yenye view Kali, yenye kila kitu naweza nipate namba za Simu jina na maelezo ya ziada nahitaji kwenda kuanzia Dec 15 mpk 20 kabla ya kwenda kuhesabiwa Asante.
  8. Matope

    JamiiForums Tanzania Binti yangu yupo darasa la 6 tu lakini maziwa yameshalala na yanaendelea kukua kwa kasi ya ajabu!

    Hakuna kitu cha hivi aisee ,ww kama ni mwanao unaweza kukufabi binti yako akafanyiwa hivi???
  9. Matope

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya Sticker za Walemavu kwenye vyombo vya Moto ni sawa?

    Wakuu naombeni Tafsiri ya hizi sticker za Walemavu wamekuwepo watu mbeya wakishimamisha magari na kutaka ukate sticker swali je zipo kisheria ilihali barabara zetu mara nyingi tunaona hizi za 50,zebra ,stand na zingine za kawaida tu?
  10. Matope

    JamiiForums Tanzania Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

    Kumbe
  11. Matope

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

    Mzee fundi yule kwa maelezo 😀😀😀
  12. Matope

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

    All the best Simba SC nguvu moja
  13. Matope

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

    Wewe nae umemkazia sana mwanatu!
Back
Top Bottom