Wangesilimu yasingewakuta.
Ona wote hawa wagalatia watupu, Ndugai, Ndasa, Ndugulile, Kijazi, Magufuli, Mafuru, Jenister, Mfugale, nk:
Hadi 2030 watabaki wa Macca na Madina watupu.
Hivi kuna mzungu anaitwa Wambura, au Matonya au Mwakalukwa au Byalugaba ?
Mwafrica hakuna kitu chake anachokithamini kuanzia Rasilimali, vyakula madini hata akili yake tu yenyewe haithamini.
Kila cha maana ni cha nje, au waarabu ama wazungu.
Tuna majina mazuri sana ya kikwetu ya ASILI. Hiyo...
Kama mchanga ni wetu sote Mtanganyika kanunue ardhi Zanzibar kama utaruhusiwa.
Nawaza kuwa tuendako Tanganyika itabomoka na kuharibiwa kabisa na Zanzibar kiuchumi, kiasi cha kwenda kukopa huko huko Zanzibar.
Baada ya kusoma comments zote humu, nimegundua yafuatayo.
1: Watanganyika hawana tena Ari, uzalendo na hamasa ya kuilinda nchi yao kama miaka ya 1960 hadi 1990.
2: Vita ikitokea sasa hivi kati ya Tanzania na nchi jirani, raia/wananchi wako tayari kuwaunga mkono nchi jirani ikiwa...
Sawa kabisa mkuu.
Acheni sasa ziara za huyo makombo, sijui kombo kwa dunia nzima kubembeleza wazungu, akila posho ambazo ni kodi na jasho la Watanganyika wengi wasio na maji Barabara wala matundu ya vyoo vya shule zenye watoto 1500 na walimu 5 tu.
Lupango/jela Tanzania zinaandaliwa kimkakati kuwakomoa wapinzani.
Ila kifo hasa kwa dictators, huamuliwa na MUNGU mkuu mwenye haki asiyeonea wala kupendelea
Ninakubali sana sera, itikadi na uongozi wa Nyerere isipokuwa Muungano tu. Ninauchukia kuliko mavi.
Ningekuwa na uwezo ningemfufua na kumtandika viboko 12 kwa hilo tu.
Mengine alikuwa kwangu excellent.
Drama tu hana jipya huyo Augustino.
Mdogo wake katekwa sasa karibu miezi sita, yeye anabadili story kila siku.
Mpaka ninaanza kuhisi naye ni wale wale tu.
Tundu Lissu: Mheshimiwa jaji naomba kumuuliza shahidi kuhusu mauaji ya 29/10/2025.
Nani ana mamlaka ya kisheria kutoa amri kuuwa kwa risasi, hapa Tanzania.
Swali la pili. Mahakama ipo tayari Kupokea ushahidi wa sauti na picha ili kuthibitisha kuwa vyombo vya dola viliuwa.
Swali la tatu...
Ndugu/mtoto wangu haendi hata angelipwa million 300 kwa mwezi.
Ni kufanya biashara ya uhai na pesa, hivyo unachagua kutajirika kwa uhai wa ndugu au mtoto.
Simruhusu ng'o.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.