Anafanana na nguruwe? Maana machoni pa watu wanakataa ila mafichoni ndo kitoweo chao pendwaMzanzibary hawezi kula kambale
Anafanana na nguruwe? Maana machoni pa watu wanakataa ila mafichoni ndo kitoweo chao pendwaMzanzibary hawezi kula kambale
Mbona ni muda sana mchanga na kokoto vinatoka Tanganyika miradi inayoendelea huko Zanzibar vitu hivyo vinatoka TanganyikaSerikali ya Zanzibar imetangaza mpango wa kuanza kununua mchanga kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya kutumika katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa visiwani humo.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Nadir Abdul Latif, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya siku 100 za uongozi wa Rais wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, katika kipindi cha pili cha uongozi wake.
Waziri Nadir amesema hatua hiyo imechukuliwa kutokana na Zanzibar kukabiliwa na uhaba wa rasilimali ya mchanga unaoweza kukidhi mahitaji makubwa ya ujenzi, hasa katika kipindi hiki ambacho serikali inaendelea kutekeleza miradi mingi mikubwa ya maendeleo.
Amefafanua kuwa mchanga utakaoagizwa kutoka Tanzania Bara utatumika mahsusi katika miradi mikubwa ya ujenzi inayotekelezwa na serikali pamoja na ile inayohusisha uwekezaji mkubwa, ili kuhakikisha utekelezaji wa miradi hiyo haukwami kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mchanga.
“Tumegundua kuwa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa Zanzibar kwa sasa inahitaji kiasi kikubwa sana cha mchanga. Kutokana na hali hiyo, serikali imefanya tathmini na kuona ni vyema kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya miradi hiyo mikubwa,” amesema.
Ameongeza kuwa hatua hiyo pia inalenga kulinda mazingira ya Zanzibar kwa kupunguza uchimbaji mkubwa wa mchanga ndani ya visiwa hivyo ambao unaweza kusababisha athari za kimazingira ikiwemo uharibifu wa ardhi, mmomonyoko wa udongo na kuathiri mifumo ya ikolojia.
Hata hivyo, Waziri huyo amesisitiza kuwa wananchi wa Zanzibar wanaohitaji mchanga kwa ajili ya shughuli ndogo za ujenzi kama ujenzi wa nyumba binafsi au utengenezaji wa matofali, hawatalazimika kununua mchanga kutoka Tanzania Bara.
chanzo ;Nipashe
Huu ni udwebedu mkubwa, wakati bahri imejaa nchanga tele!Serikali ya Zanzibar imetangaza mpango wa kuanza kununua mchanga kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya kutumika katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa visiwani humo.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Nadir Abdul Latif, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya siku 100 za uongozi wa Rais wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, katika kipindi cha pili cha uongozi wake.
Waziri Nadir amesema hatua hiyo imechukuliwa kutokana na Zanzibar kukabiliwa na uhaba wa rasilimali ya mchanga unaoweza kukidhi mahitaji makubwa ya ujenzi, hasa katika kipindi hiki ambacho serikali inaendelea kutekeleza miradi mingi mikubwa ya maendeleo.
Amefafanua kuwa mchanga utakaoagizwa kutoka Tanzania Bara utatumika mahsusi katika miradi mikubwa ya ujenzi inayotekelezwa na serikali pamoja na ile inayohusisha uwekezaji mkubwa, ili kuhakikisha utekelezaji wa miradi hiyo haukwami kutokana na changamoto ya upatikanaji wa mchanga.
“Tumegundua kuwa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa Zanzibar kwa sasa inahitaji kiasi kikubwa sana cha mchanga. Kutokana na hali hiyo, serikali imefanya tathmini na kuona ni vyema kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya miradi hiyo mikubwa,” amesema.
Ameongeza kuwa hatua hiyo pia inalenga kulinda mazingira ya Zanzibar kwa kupunguza uchimbaji mkubwa wa mchanga ndani ya visiwa hivyo ambao unaweza kusababisha athari za kimazingira ikiwemo uharibifu wa ardhi, mmomonyoko wa udongo na kuathiri mifumo ya ikolojia.
Hata hivyo, Waziri huyo amesisitiza kuwa wananchi wa Zanzibar wanaohitaji mchanga kwa ajili ya shughuli ndogo za ujenzi kama ujenzi wa nyumba binafsi au utengenezaji wa matofali, hawatalazimika kununua mchanga kutoka Tanzania Bara.
chanzo ;Nipashe
mzee wa kijereshi kutoka Sayona..imeona suala kuwa gumuMbona ni muda sana mchanga na kokoto vinatoka Tanganyika miradi inayoendelea huko Zanzibar vitu hivyo vinatoka Tanganyika
Hapa sasa umeshaandika na umeeleweka.No, vya wote ni vya bara tuu, vya Zenj ni kwa ajili ya Wazenji tuu!.
P
Umeshindwaje kuthibitisha kuwa maskafu imemtachi wakati inaonekana dhahiri?HA ha ha!, ila kiukweli nimeitwa kuambiwa kuthibitisha imemtachi, nimeshindwa!, mwenyewe nimeomba msamaha!.
P
Mchanga wa baharini ndo ukajengee uliona wapi hiyo chumvi chumvi na cement haviendani kamweHuu ni udwebedu mkubwa, wakati bahri imejaa nchanga tele!
No, vya wote ni vya bara tuu, vya Zenj ni kwa ajili ya Wazenji tuu!.
P
Hakika...Huo ndio ukweli wenyewe!
Mkuu, na Wazanzibari wanajua hivyo?Tanzania ni nchi moja, mchanga wote ni wetu sote,
Yes hiyo ndio kanuni yenyewe !, muungano ni kama ndoa, kuna mke na kuna mume, mume anawajibika kwa mkewe na kila kitu cha mume, pia ni cha mkewe, ila vile vitu vya mkewe ni vyake!Mkuu, na Wazanzibari wanajua hivyo?
Au ndiyo ile kanuni ya "chao ni chao, ila chetu ni cha wote"?
Kama mchanga ni wetu sote Mtanganyika kanunue ardhi Zanzibar kama utaruhusiwa.Duh....!, yaani niandike makala kuhusu mchanga?!, Tanzania ni nchi moja, mchanga wote ni wetu sote, naomba kazi hii niwaachie waandishi wa mazingira, mimi naaendelea kuandika kuhusu issues, siandiki kuhusu vitu, wala kuhusu watu!.
P
Inasikitisha sana.No, vya wote ni vya bara tuu, vya Zenj ni kwa ajili ya Wazenji tuu!.
P