Recent content by MATONYA new

  1. M

    Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

    Usitudanganye, na umechanganya maddesa, 2012 hakuwa that popular, Yule NI mama SALMA KIKWETE, na wale walikuwa mabinti waathirika WA UKIMWI kupitia mradi wao WA Mama Salma Foundation ambo ulikuwa mradi WA wake za Marais wote wa Aftika kipindi hicho kupigana vita dhidi ya UKIMWI.
  2. M

    Asante kanisa Anglican Dayosisi ya Dodoma kwa kuongeza alama ya utambulisho wa jiji la Dodoma

    Pongezi kwa kanisa Anglican dayosisi ya Dodoma kwa kuongeza land mark ya jiji la Dodoma kwa kuzindua SAFINA HOUSE
  3. M

    Tafsiri na uchambuzi Mkataba wa Bandari Tanzania na Dubai

    Nitarudi baadae, ngoja niagize safari
  4. M

    Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

    Huku tunakokwenda tutaamsha yaliyolala
  5. M

    Natafuta kiwanja Dodoma

    Fanya Kuni pm fasta
  6. M

    Hesabu za Bashe na Serikali yako zimegoma. Muda sio mrefu utaachia ngazi!

    Hao wakulima wanao tetewa nao pia hawauzi kwa faida kubwa maana soko huria ndilo linalo bashiri bidhaa iuzwe kwa bei gani Hivyo wakulima bado wanauza mazao yao kwa bei ya chini Then middlemen wanaofanya hii biashara siyo watanzania, ni watu wa kutoka nje Magari yanayo safirisha mzigo, siyo ya...
  7. M

    Nisome Kozi Gani Hapa?

    Nenda kasome hiyo kozi tour guide and tourism itakusaidia pakubwa
  8. M

    Happy Birthday Chuma, happy birthday John Pombe Magufuli

    Happy birthday jembe, happy birthday JPM
  9. M

    Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

    Nipo Dodoma Nipo tayari kukusaidia Naomba unitafute Pm Pia nitaomba kuona vyeti vyako originals Uje pm Ukinikosa leo, kesho nitafute
Back
Top Bottom