Usitudanganye, na umechanganya maddesa, 2012 hakuwa that popular, Yule NI mama SALMA KIKWETE, na wale walikuwa mabinti waathirika WA UKIMWI kupitia mradi wao WA Mama Salma Foundation ambo ulikuwa mradi WA wake za Marais wote wa Aftika kipindi hicho kupigana vita dhidi ya UKIMWI.
Hao wakulima wanao tetewa nao pia hawauzi kwa faida kubwa maana soko huria ndilo linalo bashiri bidhaa iuzwe kwa bei gani
Hivyo wakulima bado wanauza mazao yao kwa bei ya chini
Then middlemen wanaofanya hii biashara siyo watanzania, ni watu wa kutoka nje
Magari yanayo safirisha mzigo, siyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.