Upo wapiField
Habari,nilikuwa naomba msaada WA kupata sehem ya kufanyia field course Taxation
Dar es salaamUpo wapi
Utaratibu ni kutuma barua mahala unapo taka kwendaDar es salaam
🤔Tuone picha yako
Nilifany hivy Ila sijafanikiwa Hadi sasaUtaratibu ni kutuma barua mahala unapo taka kwenda
Jiongeze... Ripoti TRA popote hawawezi kukufukuza.Nilifany hivy Ila sijafanikiwa Hadi sasa
Sawa asanteJiongeze... Ripoti TRA popote hawawezi kukufukuza.
Watu wanakaza mpaka field wakati unafanya kazi bure
Unasoma ifm , yeah kuna pisi yangu humo class kwenu unasoma nayoSawa asante
Fanya hivi nenda TRA ofisi ya wilaya yoyote wasilisha barua yako ,hapo hapo ndo utapataSawa asante
Yani watu wana sahau kabisa kwamba na wao waliruhusiwa kufanya field na walio watangulua ndio maana wako hapo walipo leo.Kama unasoma ifm andika tu project Saivi field zimekuwa kama ajira unazunguka kama unatafuta kazi
Wachukue wakina zakayo kama watatu ukiwajumlisha ndy unanipta Mimi Yule mmoja pekee mbn yupo vizur Sana simfikii hata.Wakina Zakayo.
Alfu anatokea MTU anahisi kama MTU ni mzembe wakati ajui ulianza kutafuta muda gani hiyo field.Yani watu wana sahau kabisa kwamba na wao waliruhusiwa kufanya field na walio watangulua ndio maana wako hapo walipo leo.
Sawa nitafany hivy mana🙌Kama unasoma ifm andika tu project Saivi field zimekuwa kama ajira unazunguka kama unatafuta kazi
Nimeshaenda baadhi sikufanikiwaFanya hivi nenda TRA ofisi ya wilaya yoyote wasilisha barua yako ,hapo hapo ndo utapata
🤣 Mkuu upo serious na hili comment au unazijua field za sasa hivi? Yani hata uwaambie sitaki hata nauli wanakwambia tutakuitaFanya hivi nenda TRA ofisi ya wilaya yoyote wasilisha barua yako ,hapo hapo ndo utapata