William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Tuseme tu ukweli.
Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.
Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.
Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.
Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.
Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.
Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.
CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.
Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.
Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.
Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.
Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.
Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.
Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.
Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.
CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.
Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.