Recent content by matibula

  1. M

    CHADEMA Tanga wamuunga mkono Slaa

    Sijui ni kutojua kiswahili au kukosa adabu lakini hapa umetutukana watu wa Tanga wote pamoja na wana ukawa
  2. M

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Mbona Tanga mnatuonea? Huku hakuna anaeachwa nje aliwe na fisi. Hakuna anaekatwa viungo. Hakuna vibibi vizee vinavyopigwa hadi kufa kwa sababu kina macho mekundu. Watumishi wa serikali toka mikoa mingine wakifika Tanga kitu cha kwanza wanatafuta nyumba za waganga. Kabla hamja kutuhukumu hebu...
  3. M

    Omary mauno wa Tanga mjini barabara ya 11

    Naishi Barbara ya 8 mbona Omar mauno alias panga boi sijamsikia?
  4. M

    Kuhusu Mikopo ya NSSF Arusha na Kilimanjaro

    Nimejiunga na nssf 4/2014. Nalipa 20000 kila mwezi. Nia yangu nikua na akiba ya muda mrefu-uzee unaingia. Bila kuhesabu riba yao sasa nina laki tatu naa. Nafurahi kwa ku save kidogo kidogo. Sasa mnanitisha mkinambia taasisi hii haiaminiki. Je nitoke? Ipi mnanishauri
  5. M

    ''Enchweke'': Sauti za waliokufa, inatokeaje mtu anaongea kwa niaba ya mfu?

    Vipi ndugu yangu na sio hapa Afrika tu nimevikuta kule Latin amerika pia
  6. M

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Mcheza karata ahsante kwa kurudi. Kwanza tuwaombe samahani wale wenzetu wasiotaka elimu hii wasichangie kitu chochote chanye maadili ya kidini. Sio wote ni waislamu au wakristo. Kuna wenzetu hawaamini hata mungu lakini wanna haki kama sisi. Sasa kama dini zetu haziruhusu kusilikiliza darasa...
  7. M

    Kipi bora kati ya kilimo na ufugaji?

    kama wataka kufuga basis ni ngombe wa maziwa sio wa kienyeji
  8. M

    Magufuli and the Future of Opposition Parties

    According to its leadership structure, Chadema looks like a tribal group.
  9. M

    Kwanini UKAWA mnawagawa Watanzania na Kuamini katika Ukanda

    Mchaga sio tatizo kuongoza nchi. Labda tatizo ni kuwa viongozi wote ni Wachaga na Wachaga wote ni Chadema. Bado naamini ya Burundi hayatatokea.
  10. M

    Bei ya Water pump Ndogo (Manual)

    Liverpool. Niko Tanga, km 29 toka Tanga mjini.Je mnaweza kuja kunichimbia.
  11. M

    Magufuli: Kuanzia leo nitatoa kazi zilizofanyika kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita

    Magufuli anachoonyesha hapa ni kwamba yeye ni mtendaji mzuri na kama akipewa fursa ya kuiongoza nchi basi atafanya vizuri. Kwa hiyo kama kuna mgombea mwengine aliyefanya vizuri nae aeleze nini amefanya. Simuhukumu Mag kwa suala la samaki. Yalikuwa ni maamuzi magumu lakini lazima yatolewe...
  12. M

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Ni Tanzania nzima bado tuko kwenye ujinga wa kuamini uchawi.
  13. M

    Kuhusu ufugaji wa samaki

    ndugu yangu humu ndani kuna post ya ufugaji samaki ambayo ni complete. search itaipata name dukuduku zako zitaisha au nenda YouTube pale yapo madarasa hata ya kiswahili toka kenya
  14. M

    Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

    Kiswahili ni lugha tu. ndio na ndiyo su chanzo cha kumdhalilisha mtu. Sisi wasomaji twataka hoja. Mwinzio ana muamini Magufuli kama kingozi bora. Kama we we wapinga basi toa hoja yako na siyo kutaka tofauti ya ndiyo na ndio. Kumbuka asiye kubali kushindwa siyo mshindani. By the way, ni sio au siyo?
  15. M

    Ndugu yetu Bernard Membe yuko wapi, anawaza au amejipangaje saa hizi?

    Wacha kugombea urais, Membe hakua na sifa hata za kugombea uenyekiti wa kijiji
Back
Top Bottom