Kikwete àlisema kukopa ni muhimu watu hawakumwelewa, wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa tunaweza kujitegemea bila kukopa kwa kuwa rasirimali tunazo za kutosha mmmmmmmmhhhhhhh
Kwa taarifa za kiitelijensia cku hiyo mikutano ruksa AMANI itakuwapo, baada ya mkutano huo hakuna mikusanyiko tena ya siasa, HAPO NI WASHAWASHA TU bongo balaa
Ngoja tutaona kwa mkutano wa CCM trh 23/07/2016. Picha itakayoendelea hapo, najua kibali kitatolewa tu waendelee na mkutano, ikiwa mkusanyiko wowote wa kisiasa umepigwa marufuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.