Mkuu nmepiga kazi nimekwama kwenye division yan sijakupata hapo kwenye vlookup ya mwisho ili nipate división, nmejaribu inaniletea wanafunzi wote wamepata zero
nikupe namba ya mwalimu wa hapo kwiro??? ukifka moro kuna magar 2 tu yakuja huku mahenge usidanganyike kuna allysaid na kidinyilo ila kwa usafil bora panda kidinyilo naur elfu 20 baada ya kufka unachukua bodaboda buku hadi kwiro
umeenda lini ndanda?? lile jengo la mskit limejengwa vzr na lile jengo la uwanja wa netbal wanaofanyia mazoez wale ma dada wa ufund wanajenga frem za salun; duka na fundi nguo na pale mka house wamegewa walimu co wafnyakaz wa benk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.