Acheni ku-comment kejeli wazee kama huna cha maana we kausha tuu coz kupata au kukosa ajira ni mipango ya mungu jamani! Nyie mnaocomment kejeli maisha mnayajua mnayaskia!
Niliwahi kumnasa mwanasaikolojia fulani anasema"the great the distance the great the love" akimaanisha kwa tafsiri isiyo rasmi kuwa, jinsi wapenzi wanavyoweza kutengeneza umbali flani kati yao ndivyo mapenzi yao huongezeka maradufu. Ninaposema umbali namaanisha mazingira yafuatayo;
1. Epuka...
Wana jf tushirikishane hili suala muhimu! wapenzi au wanandoa wengi wanapotaka kuanza mahusiano yao huulizana maswali kama haya...'unasoma wapi, unafanya kazi gani, we ni mnene au mwembamba n.k' Halafu wakishajua majibu hayo, hapo ndo husingizia dhana ya kupendana kwa dhati kisha kuanza...
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
Isikuchanganye Sana, Hizo Ni Hatua Tu Katika Life, Lakini Cha Msingi Hao Twins Wakizaliwa Ndo Utajua Kama Ni Wa Mzungu Au Mhindi, Kama Hawana Character Hizo Basi Deal Na Mswahili Mojawapo Unayeona Anakufaa Au Kukusaidia Coz Huwezi Kupima DNA Kwa Kila Mmoja. Hongera Kwa Kupata Twins!!
Ukweli Ni Kwamba' Usimjaji Mtu Kwa Jinsi Anavyoonekana Au Anavyokutendea Kwa Siku Moja Tu. Kumfaham Mtu Vizuri Inachukua Time Sana May Be Utakapokuwa Naye Karibu Mara Nyingi Zaidi. Mume Wako Ni Mtu Wa Muhimu Sana Coz Una Noleji Kubwa Juu Yake, Unafahamu Mapungufu Na Mazuri Yake Hivyo Una Uwezo...
Kwa Jinsi Ninavyofahamu Nimegundua Kwamba Watu Hupata Wachumba Na Kuwekeana Nia Ya Dhati Kuwa Wataoana Katika Kila Stage Ndani Ya Maisha Ya Shule Mfano Std 1-7, Frm1-4,5-6 U'versity/college Etc, Lakini Cha Kushangaza Asilimia 5 Ndo Wanaofikia Malengo 95% Go away! Do U Think Why? Make Reference...
Hi all! natafuta marafiki wa kike na kiume kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kushauriana different matters e.g ujasiriamali, masomo, namna ya kukabiliana na matatizo mbalimbali na maisha kwa ujumla. Napenda kusoma saikolojia mbalimbali especially experimental psychology...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.