Mathias BM
Member
- Jun 28, 2012
- 21
- 3
Niliwahi kumnasa mwanasaikolojia fulani anasema"the great the distance the great the love" akimaanisha kwa tafsiri isiyo rasmi kuwa, jinsi wapenzi wanavyoweza kutengeneza umbali flani kati yao ndivyo mapenzi yao huongezeka maradufu. Ninaposema umbali namaanisha mazingira yafuatayo;
1. Epuka kumpigia mwenzi wako simu mara kwa mara, mfn asubuhi, mchana, jioni, usiku n.k hali kadhalika sms. Hali hiyo ya mara kwa mara itafamfanya mwenzi kuzoea mazungumzo yako, fikra zako na hivyo kupunguza uthamani.
2.Epuka kuwa katika hali ileile kila siku, mfn unaonesha kuchangamka sana, kukasirika, kufurahi, utani, kubembeleza(soft language) umakini( overseriousness) n.k. Hii itamfanya kuizoea hali hiyo na kukuona wa kawaida kwa kuto-experience mabadiliko. Jaribu kuwa dynamic.
3. Epuka kukaa au kutembea na mwenzi wako kila wakati. Kukaa au kutembea na mwenzi wako ni muhimu katika mahusiano lakini isiwe ni kila wakati na kila mahali. Kwa kufanya hivyo utamwongezea mwenzi wako hisia zaidi za upendo.
....Zitaendelea nxt tym in II
1. Epuka kumpigia mwenzi wako simu mara kwa mara, mfn asubuhi, mchana, jioni, usiku n.k hali kadhalika sms. Hali hiyo ya mara kwa mara itafamfanya mwenzi kuzoea mazungumzo yako, fikra zako na hivyo kupunguza uthamani.
2.Epuka kuwa katika hali ileile kila siku, mfn unaonesha kuchangamka sana, kukasirika, kufurahi, utani, kubembeleza(soft language) umakini( overseriousness) n.k. Hii itamfanya kuizoea hali hiyo na kukuona wa kawaida kwa kuto-experience mabadiliko. Jaribu kuwa dynamic.
3. Epuka kukaa au kutembea na mwenzi wako kila wakati. Kukaa au kutembea na mwenzi wako ni muhimu katika mahusiano lakini isiwe ni kila wakati na kila mahali. Kwa kufanya hivyo utamwongezea mwenzi wako hisia zaidi za upendo.
....Zitaendelea nxt tym in II