Hili jambo linawahusu wote UKUTA Unaweza kuwa jiran yako na wewe yakakukuta tuombe MUNGU tu Wayamalize salama Tuache uxhabiki wa kusema watakiona kwani wewe utakua nje ya nchi je ukiwa kwenye biashara zako na yakakukuta utasema kihelehele cha pesa au??? THINK BIGER GET A PICTURE
Nchi imepandikizwa uoga hakuna awezae kuhoji
Wafanya kazi wanaishi kwa hofu
Wananchi wanaishi kwa hofu
Wanafunzi wanaishi kwa hofu
Utazan tuko utumwani nani atahoji na ni nani atamtetea mwenzie
Inaumakuona kura za wananchi zinawatesa wenyewe
Unadhan tundu lisu wangemfanya nn labda ili udicteta udhihilike????
Unapofikiri kuhusu udicteda fikiri kwa mapana
Kumkamata tu ni udicteta pia maana hana kosa kufanya mkutano jimbon kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.