Je, Tundu Lissu bado unaamini kuwa Magufuli ni Dikteta Uchwara?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Waswahili wanasema tuwe na akiba ya maneno. Kauli ya Lissu kuwa Rais Magufuli hi Dikteta Uchwara haijadhihiri kwake wala kwa wengine.

Licha ya Tundu Lissu kumtukana Rais hadharani, hakuna aliyemtoa hata ngeu. Alikamatwa kistaarabu. Akasafirishwa kistaarabu toka Singida hadi Dar es Salaam na akafunguliwa mashtaka kistaarabu. Kubwa zaidi ni pale mkondo wa sheria ulipopewa nafasi kwa Tundu Lissu kupewa muda wa kutosha kujitetea hadi kesi yake kuvunja rekodi ya kusikilizwa kwa zaidi ya dakika 500. Haya yote hayajapatapo kutokea kwenye utawala wa kidikteta.

Kikubwa zaidi ni pale Tundu Lissu alipopata dhamana na sasa yupo uraiani. Sidhani kama kwa nchi za kidikteta leo hii angeliona jua.

Niwakumbushe ndugu zangu wa upinzani kwamba siasa si ugomvi na wala si uadui. Lowasa amewafundisha muwe na siasa za kistaarabu na kimikakati kama kweli mna dhamira ya kwenda Ikulu. Kinyume chake mtaendelea kuwa wasindikizaji kwani sisi wananchi wa kawaida tunaendelea kuwadharau. Na ndio maana kila awamu kunakuwa na mabadiliko ya chama kikuu cha upinzani lakini CCM inaendelea kujinafasi kileleni. 1995 hadi 2000 tulikuwa na NCCR Mageuzi. 2000 hadi 2010 tulikuwa na CUF. 2010 hadi sasa tuna CHADEMA. Sitashangaa kuona mwaka 2020 tukiwa na chama kingine kikuu cha upinzani.
 
..hoja ya TL ni kwamba Raisi amedharau na kuvunja katiba kwa kutoa amri ya kuzuia mikutano ya hadhara.

..zaidi amekwenda mbali na kuvielekeza vyombo vya dola kutekeleza amri hiyo na hata ikibidi kutumia nguvu.

..watendaji wa serikali kama wakuu wa mikoa na wilaya nao wamekuwa wakisisitiza amri hiyo iliyo kinyume na katiba na kuvichagiza vyombo vya dola ktk maeneo ya kuwa tayari kutumia nguvu dhidi ya wananchi ambao wametangaza kutumia haki yao ya kikatiba kufanya mikutano na kuandamana.

..sasa amri hiyo ya Raisi ni udikteta. Na kumkamata na kumsumbua mwanasiasa anayekemea uvunjifu huo wa katiba ni muendelezo wa udikteta.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Waswahili wanasema tuwe na akiba ya maneno. Kauli ya Lissu kuwa Rais Magufuli hi Dikteta Uchwara haijadhihiri kwake wala kwa wengine.

Licha ya Tundu Lissu kumtukana Rais hadharani, hakuna aliyemtoa hata ngeu. Alikamatwa kistaarabu. Akasafirishwa kistaarabu toka Singida hadi Dar es Salaam na akafunguliwa mashtaka kistaarabu. Kubwa zaidi ni pale mkondo wa sheria ulipopewa nafasi kwa Tundu Lissu kupewa muda wa kutosha kujitetea hadi kesi yake kuvunja rekodi ya kusikilizwa kwa zaidi ya masaa 500. Haya yote hayajapatapo kutokea kwenye utawala wa kidikteta.

Kikubwa zaidi ni pale Tundu Lissu alipopata dhamana na sasa yupo uraiani. Sidhani kama kwa nchi za kidikteta leo hii angeliona jua.

Niwakumbushe ndugu zangu wa upinzani kwamba siasa si ugomvi na wala si uadui. Lowasa amewafundisha muwe na siasa za kistaarabu na kimikakati kama kweli mna dhamira ya kwenda Ikulu. Kinyume chake mtaendelea kuwa wasindikizaji kwani sisi wananchi wa kawaida tunaendelea kuwadharau. Na ndio maana kila awamu kunakuwa na mabadiliko ya chama kikuu cha upinzani lakini CCM inaendelea kujinafasi kileleni. 1995 hadi 2000 tulikuwa na NCCR Mageuzi. 2000 hadi 2010 tulikuwa na CUF. 2010 hadi sasa tuna CHADEMA. Sitashangaa kuona mwaka 2020 tukiwa na chama kingine kikuu cha upinzani.
Kwani udikteta ni kupiga watu tu! Uhaini dhidi ya katiba aliyoapia kuilinda ni Udikteta namba moja!!
Hivi bado unaona ni sawa ile kodi yako ilivyotumika kusafirisha mtu toka singida hadi dar kwa vile tu ameita jembe ni jembe?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Waswahili wanasema tuwe na akiba ya maneno. Kauli ya Lissu kuwa Rais Magufuli hi Dikteta Uchwara haijadhihiri kwake wala kwa wengine.

Licha ya Tundu Lissu kumtukana Rais hadharani, hakuna aliyemtoa hata ngeu. Alikamatwa kistaarabu. Akasafirishwa kistaarabu toka Singida hadi Dar es Salaam na akafunguliwa mashtaka kistaarabu. Kubwa zaidi ni pale mkondo wa sheria ulipopewa nafasi kwa Tundu Lissu kupewa muda wa kutosha kujitetea hadi kesi yake kuvunja rekodi ya kusikilizwa kwa zaidi ya masaa 500. Haya yote hayajapatapo kutokea kwenye utawala wa kidikteta.

Kikubwa zaidi ni pale Tundu Lissu alipopata dhamana na sasa yupo uraiani. Sidhani kama kwa nchi za kidikteta leo hii angeliona jua.

Niwakumbushe ndugu zangu wa upinzani kwamba siasa si ugomvi na wala si uadui. Lowasa amewafundisha muwe na siasa za kistaarabu na kimikakati kama kweli mna dhamira ya kwenda Ikulu. Kinyume chake mtaendelea kuwa wasindikizaji kwani sisi wananchi wa kawaida tunaendelea kuwadharau. Na ndio maana kila awamu kunakuwa na mabadiliko ya chama kikuu cha upinzani lakini CCM inaendelea kujinafasi kileleni. 1995 hadi 2000 tulikuwa na NCCR Mageuzi. 2000 hadi 2010 tulikuwa na CUF. 2010 hadi sasa tuna CHADEMA. Sitashangaa kuona mwaka 2020 tukiwa na chama kingine kikuu cha upinzani.
Kamuulize yeye lisu kiboko yenu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Waswahili wanasema tuwe na akiba ya maneno. Kauli ya Lissu kuwa Rais Magufuli hi Dikteta Uchwara haijadhihiri kwake wala kwa wengine.

Licha ya Tundu Lissu kumtukana Rais hadharani, hakuna aliyemtoa hata ngeu. Alikamatwa kistaarabu. Akasafirishwa kistaarabu toka Singida hadi Dar es Salaam na akafunguliwa mashtaka kistaarabu. Kubwa zaidi ni pale mkondo wa sheria ulipopewa nafasi kwa Tundu Lissu kupewa muda wa kutosha kujitetea hadi kesi yake kuvunja rekodi ya kusikilizwa kwa zaidi ya masaa 500. Haya yote hayajapatapo kutokea kwenye utawala wa kidikteta.

Kikubwa zaidi ni pale Tundu Lissu alipopata dhamana na sasa yupo uraiani. Sidhani kama kwa nchi za kidikteta leo hii angeliona jua.

Niwakumbushe ndugu zangu wa upinzani kwamba siasa si ugomvi na wala si uadui. Lowasa amewafundisha muwe na siasa za kistaarabu na kimikakati kama kweli mna dhamira ya kwenda Ikulu. Kinyume chake mtaendelea kuwa wasindikizaji kwani sisi wananchi wa kawaida tunaendelea kuwadharau. Na ndio maana kila awamu kunakuwa na mabadiliko ya chama kikuu cha upinzani lakini CCM inaendelea kujinafasi kileleni. 1995 hadi 2000 tulikuwa na NCCR Mageuzi. 2000 hadi 2010 tulikuwa na CUF. 2010 hadi sasa tuna CHADEMA. Sitashangaa kuona mwaka 2020 tukiwa na chama kingine kikuu cha upinzani.
Dua la kuku huo wimbo alianza wasira lkn hivi leo bado cdm inawapa vidonge na wasira yupo anavua samaki kwao
 
Tundu lissu ni wakusamahewa hajui alinenalo ila kibri na jeuri ndio inamsumbua vilevile anapaswa kujua kuwa urais ni taasisi kubwa ajifunze nidhamu Luna watu walikuwa na kibri lakini Leo wamepotea kabisa katika kisiasa awe anaweka akiba ya maneno
Kama Gadaffi na Sadam Hussein eeh?!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Waswahili wanasema tuwe na akiba ya maneno. Kauli ya Lissu kuwa Rais Magufuli hi Dikteta Uchwara haijadhihiri kwake wala kwa wengine.

Licha ya Tundu Lissu kumtukana Rais hadharani, hakuna aliyemtoa hata ngeu. Alikamatwa kistaarabu. Akasafirishwa kistaarabu toka Singida hadi Dar es Salaam na akafunguliwa mashtaka kistaarabu. Kubwa zaidi ni pale mkondo wa sheria ulipopewa nafasi kwa Tundu Lissu kupewa muda wa kutosha kujitetea hadi kesi yake kuvunja rekodi ya kusikilizwa kwa zaidi ya masaa 500. Haya yote hayajapatapo kutokea kwenye utawala wa kidikteta.

Kikubwa zaidi ni pale Tundu Lissu alipopata dhamana na sasa yupo uraiani. Sidhani kama kwa nchi za kidikteta leo hii angeliona jua.

Niwakumbushe ndugu zangu wa upinzani kwamba siasa si ugomvi na wala si uadui. Lowasa amewafundisha muwe na siasa za kistaarabu na kimikakati kama kweli mna dhamira ya kwenda Ikulu. Kinyume chake mtaendelea kuwa wasindikizaji kwani sisi wananchi wa kawaida tunaendelea kuwadharau. Na ndio maana kila awamu kunakuwa na mabadiliko ya chama kikuu cha upinzani lakini CCM inaendelea kujinafasi kileleni. 1995 hadi 2000 tulikuwa na NCCR Mageuzi. 2000 hadi 2010 tulikuwa na CUF. 2010 hadi sasa tuna CHADEMA. Sitashangaa kuona mwaka 2020 tukiwa na chama kingine kikuu cha upinzani.
Cdm itazidi kuwepo na hatimaye kuchukua dola kwa kuwafurusha ma ccm
 
Dua la kuku huo wimbo alianza wasira lkn hivi leo bado cdm inawapa vidonge na wasira yupo anavua samaki kwao
Ni suala la muda tu. kwani kuna mtu aliamini kuwa NCCR inaweza kuwa na mbunge mmoja tu sasa? Kuna mtu aliamini kuwa CUF itapotea kabisa kule Zenji? 2020 maajabu makubwa zaidi yatajitokeza
 
Na wewe tukuulize unafikiri Lissu aliteleza ulimi au alikusudia?
Jibu lako litakupa mwongozo kuwa bado ana msimamo huo au ka-surrender
 
Back
Top Bottom