Mkuu tambua hitaji la chuo husika ila toefl ndo mpango. Njoo.ujisajili kwetu na utafanyia mtihani mwl nyerere.nipigie 0712672210.
British hawafanyi toefl bali ielts.
Malipo ya ujira wako yalifanyikaje. Je.uliwahi kujiunga na mfuko.wa.hifadhi.ya jamii mf nssf nakadhalika. Makubaliano yalikuwa ni yapi. Maswali ni mengi. Piga 0712672210 kwa ushauri wa bure tu.
Wadau kuna bosi kafunga duka lake la bidhaa hiyo ya bajaji na bodaboda na anatafuta mnunusi kwa bei ya kariakoo. Vifaa vinapatikana mbesi makonde eneo la soko. Karbuni kwa kununua. Piga namba 0712672210 kwa maelekeso.
sababu yakufukuzwa ni ipi? kama siyo ya msingi kwa mujibu wa sheri za nchi nakushauri kwenda tume ya usuluhishi na upatanishi haki yako itapatikana bila kujali ulitafutiwa kazi na mkeo madamu utaratibu hujafuatwa utarejea kazini. waweza kunicheki kwa ushauri zaidi namba 0712672210. binafsi...
Kuna vijana wawili wanahitajika haraka wakike na wakiume wenye kujua kuongea vizuri na wateja, wachangamfu kwa ajili ya kuuza t-shirt siku ya fiesta usiku itakayofanyika Leaders club.
Mfano Fiesta ya Mwanza vijana watatu walipata elfu 30 kila mmoja baada ya kuuza T-shirt 90 hivyo kila mmoja...
Mkuu kuna fursa ya kuuza T-shirt siku ya Fiesta usiku kwa siku moja unaweza kusogeza siku kwa kupata mshiko wa siku moja wakati unatafuta pakujishikiza zaidi. ukiwa tayari nicheki 0712672210 kwa maelezo zaidi.
Watanzania pamoja na maelezo ya hawa bwana bado nina mashaka nao kwani mwaka 2012/2013 nikiwa chuoni kulikuwa na taasisi kama hii ikijulikana kama " HIGHER LEARNING SOCIAL SUPPORTING FUND" ikiwa na nyaraka zote za usajili toka mamlaka husika na walikuwa na wakala wao chuoni kwetu tena mate wangu...
Wadau kama ni tssf kimbieni sana maana mwaka 2013/2014 nikiwa TIA najua wahanga walikuwa wengi maana wakikusanya pesa za application kisha wakaishia mitini na ofic xao zilikuwa kariakoo. Baadhi ya wanafunzi toka vyuo tofauti walikuwa wahanga .kuweni makini.
Wadau kuna mtu naye anahitaji mtu wa sales upande wa tishirt za kisasa kabisa. Anahitaji vijana wanne wakike kwa waume idadi sawa na awe anaishi Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi namba 0712672210.
MItihani hiyo unafanya kutokana na chuo ulichoomba na kuambiwa ufanye mtihani gani kulingana na mahitaji yao. kwa ufupi unaweza kuwa umeshawatumia matokeo na vyeti vyako au lah! kulingana na utaratibu wa chuo husika
Kimsingi mkuu hadi dakika hii naandika uzi huu kuna watu walishafanya kwa mwezi june na sasa wapo wengine njiani kwa july na pia ukihitaji cd zake unapata kwa bei nafuu mkuu japo punde nikabadili mazingira ya kazi lakini majukumu yataendelea vema na kituo cha mtihani ni mwl Nyerere.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.