Recent content by mateni

  1. M

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Mungu ni mwingi wa msamaha lakini haitatokea siku akamsamehe shetani
  2. M

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Dr. Kitila CDM nilijiunga kutokana na katiba yake sasa umefukuzwa uanachama kwa makosa yako unataka tukutetee, haitawezekana jitahidi kufahamu unachokifuata kabla haujakiamini. chama chako kipya utakuwa katibu mkuu.
  3. M

    Sakata la Zitto na wenzake: Viongozi wa CHADEMA, tafadhali badilikeni!

    zzk anamatatizo yeye anataka mtu achaguliwe kwa kuangalia anatoka wapi,dini gani, kabila gani, mtoto wa ngapi, mwanachama wa lini, kwa mtazamo huo hayuko sahihi na anastahili adhabu aliyopewa kwa sababu hiki ni chama cha siasa na sio kama mtazamo wake ulivyo
  4. M

    Zitto kutua Tabora Jumamosi: Mapokezi Makubwa yamsubiri

    zzk ziara zake zote anawakilisha cdm lakini andanganya anaowahutubia kwamba yeye mb wa taifa, katika nchi hii wabunge wa vitimaalumu tu ndiyo hawana majimbo lakini na wao wanautambulisho wa maeneo wanayotokea
  5. M

    Mamia Pangani wahamia CHADEMA.

    Kamanda Mtoi endeleza swaga mafanikio yanaonekana, siku ukirudi jukwaani ushindi kabla ya kupiga kura
  6. M

    Wajumbe Kamati Kuu CHADEMA wamuonya Zitto.

    zzk anachofanya ni sawa na kutoboa meli aliyopanda, ili meli iwe salama nafikiri cc wanajua wanatakiwa kufanya nini
  7. M

    Zitto kabwe karibu mbeya tunahamu kusikia toka kwako si propaganda za hawa jamaa

    kama unamuhitaji kwa ajili ya faragha siyo mbaya
  8. M

    Nguvu Ya CHADEMA Kigoma:Kuna Wabunge na Madiwani Wangapi Wa CHADEMA?

    Kuna fununu zzk amewahi kugombea uenyekiti wa serikali na kupata kura mbili
  9. M

    Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

    zzk anajaribu kujisafisha kwa watu ambao hawajamuwajibisha ni kituko sana
  10. M

    KATIBU CDM "MIKUTANO YA ZITTO KIGOMA NI HALALI,Pia atakwenda MOSHI,Mnz,Shinyanga"

    Inaelekea Zitto anajianda kuwa mbunge wa mahakama
  11. M

    Tutafanya kosa kubwa kutomtilia mashaka Zitto Kabwe kuliko, makosa ya kumtilia shaka

    Kilevi cha sifa ni kibaya sana kwani aliye kusifu akikukosoa unaulizia CV yake
  12. M

    TZ Daima Lazika Mgogoro CHADEMA

    Italia hawakumung'unya maneno, hawa jamaa sijui kama wanaweza
  13. M

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Lema umefanya kosa kuandika hili na Zitto umefanya kosa kujibu hili naomba rudini kwenye katiba ya CHADEMA muweke sawa jambo hili
  14. M

    Akili Ndogo Kushindana na Akili Kubwa: Ona CV ya Mbunge Lema na CV ya Zitto!!

    Nimeuliza wapiga kura wa Arusha kama wanaijua cv ya mbunge wao wakasema wanaijua sana na ndiyo maana walimchagua, Arusha ina maprofesa,madaktari wengi sana nao wanamkubali kijana wao
  15. M

    CHADEMA Kusambaratika kama NCCR-Mageuzi siku si nyingi

    Unajaribu kuonyesha fikra zako, upeo wako wa kufahamu ni kiasi gani. Hakuna mabadiliko yasiyo na athari, hata nchi yetu ilipoingia kwenye utandawazi watu wengi walipunguzwa kazi. Propaganda ya CCM kwamba CDM ni ya kikabila imeshindwa kufanikiwa mfano halisi ni Sugu, Msigwa, Kiwanga, Silinde...
Back
Top Bottom